Kimpyempye
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 722
- 1,147
Gari ni jeneza linalotembea
Ndiyo mkuuJaman full dosi kafa
Mungu akutie nguvu mkuu katika kipindi hiki kigumuNi Mjasiriamali maafuru Mlowo Mbozi mkoani Songwe ambaye pamoja na mambo mengine alikua anamiliki kiwanda cha kukoboa kahawa ktk mji wa Mlowo kafariki kwa ajali usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Alikua pia maarufu kwa jina la FULL DOZE na GDM
Bwana ametoa bwana ametwaa. Jina lake libarikiwe
View attachment 1851508
View attachment 1851509
Historia ya utajiri wake tu ndio inaniachaga hoi.
Nina shida ya hela, ila ujasiri wake - zaidi ya ule wa Ntarahamwe - siuwezi.
MO pia mjasiriamaliMjasiriamali anamiliki ndinga kali hivi?
Mara Ford ranger gar ya mjapani, mwingine, Mgerman, Mara Us mwingine South, Mara Uk Sasa alieko sahihi ni nani?
Usiwe mbishi mkuu njoo na source yakoView attachment 1852384Toyota, discovery,land rover na ford ranger zipo zinazounganishwa south Africa Kwa under licence...
Mimi naongelea origin ya ford ranger ni England hata kama south Africa wanatengeneza Ila technology yake imetoka England
Kwao huyu kijana ni Ndolezi kijijini huko kwenye kimondoOkay sawa, hata hivyo wakina Mwangoka wa Majengo wameonesha kutomfahamu...
Itakuwa huyu ni wa ukoo mwingine tu
South zinatengenezwa under licence.Quality ya gari zinauzwa uku Africa zikiwa mpya huwa quality yake iko chini sana kulinganisha na na magari yanayouzwa kwenye nchi za wenzetu wanaofatilia quality za gari. Safety, security, body strength etc. Ni bora ununuwe mtumba wa gari toka Europe or America utapata quality nzuri.
Shukrani miss_mbeyaKwao huyu kijana ni Ndolezi kijijini huko kwenye kimondo
Comfort ya kutosha, siyo comfortability ya kutosha. Hakuna neno comfortability mahali popote duniani kwenye kiingereza. Tafuta katika dictionary yoyote au google, hutapata neno hi
Kwani yeye kakuambia Hilo neno ni la kiengereza?Comfort ya kutosha, siyo comfortability ya kutosha. Hakuna neno comfortability mahali popote duniani kwenye kiingereza. Tafuta katika dictionary yoyote au google, hutapata neno hilo!
Mkuu, unawezaje kuandika uongo kwa kujiamini hivi? Origin ya Ford sio England, Origin ya kampuni ya Ford ni Michigan, USA.Toyota, discovery,land rover na ford ranger zipo zinazounganishwa south Africa Kwa under licence...
Mimi naongelea origin ya ford ranger ni England hata kama south Africa wanatengeneza Ila technology yake imetoka England
Hapo kitelewasi hawajambo mkuu?R. I. P. Daima songwe tutakukumbuka!
Hizi ni hatari kwa speed ndani ya dakika ushamaliza kisahani na inadai sasa ikikutana na dereva ambae hana control lazima avuteFord Ranger zinawachomoa watu kwelikweli. Hizi mashine sijawahi kuendesha najiuliza ni Ile speed yake au zinakosa balance zikiwa kwa speed fulani?
Kwani yeye kakuambia Hilo neno ni la kiengereza?
Mmmh una shida sehemu