- Thread starter
- #41
Mpwapwa mjini misiba kila kona.Ni corona.
Nipo Mpwapwa hakuna kusema uongo Teu kafa na corona
Mpwapwa mjini misiba kila kona.Ni corona.
Nipo Mpwapwa hakuna kusema uongo Teu kafa na corona
Gregory Teu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kujisikia vibaya akiwa kikaoni.R.I.P! Chanzo cha kifo ni nini? Maana hali si shwari!
Ahsante kwa ufafanuziMwaka 2010-15 Mh. George Lubeleje hakuwa mbunge. Jimbo lilichukuliwa na Mh. Teu.
Mzee Lubeleje alirudi tena bungeni 2015-20 baada ya kumshinda Mh. Teu.
Labda UbelgijiBwashee hapo Ufipa kuna maambukizi yoyote?!
Chukua tahadhari vaa utakufa .Bwashee hapo Ufipa kuna maambukizi yoyote?!
Weka ushahidi, Wacha majungu!Ni corona.
Nipo Mpwapwa hakuna kusema uongo Teu kafa na corona
Kuna Mkono wa CHADEMA hapo siyo bure, Uchunguzi Mkali sana ufanyike!!Hii misiba mbona inatafuna sana viongizi?
Si umeambiwa marehemu alikuwa na bp na sukari?Ni hii nimonia au kitu kingine ?
Itakuwa inatafuna wote lakini kumbuka hawa wengine ni wadogowadogo vifo vyao havitangazwi tu.Hii misiba mbona inatafuna sana viongizi?
Tena ndiyo wengi balaaItakuwa inatafuna wote lakini kumbuka hawa wengine ni wadogowadogo vifo vyao havitangazwi tu.
Ni kweli alikuwa WA Kwanza kumtengua Lubeleje baada ya kufanya Jimbo ni lake. Nae akamtengua nae Lubeleje katenguliwa tena, Ila zee lile linapendwa hatari linajua Sayansi ya kuishi na watu.Huyu aliwahi kuwa mbunge wa mpwapwa kweli?
Mzee G, Lubeleje ambae alikuwa mbunge wa Mpwapwa kwa miaka yote Hadi mwaka 2020, alipo katwa CCM, alikuwa mbunge wa Jimbo gani?