Kwahiyo maelezo yako yaziada yanabeba ujumbe gani?Alikuwa mbunge wa Mpwapwa wakati wa Spika Makinda
Alikuwa anafeli sana kujibu maswali ya nyongeza
Rip!
Kwahiyo maelezo yako yaziada yanabeba ujumbe gani?Alikuwa mbunge wa Mpwapwa wakati wa Spika Makinda
Alikuwa anafeli sana kujibu maswali ya nyongeza
Rip!
Hatujaisha tuliobaki tuimbe mapambio kwa sauti hata wasiokiri watakiri kwa vinywa vyao wenyewe.Tumeisha
Uzuri John the B, penye ukweli wakati mwingine huwa mpole, hapa sijui nini kimekufanya uwe mpole kwenye hili?Za kuambiwa changanya na za kwako by Kikwete
Kwenu siyo!?Tumeisha
Siku imefikaR.I.P! Chanzo cha kifo ni nini? Maana hali si shwari!
Hahahaaaa....... Bwashee maisha ni suala binafsi!Uzuri John the B,penye ukweli wakati mwingine huwa mpole,hapa sijui mini kimekufanya uwe mpole kwenye hili.
Tegemea cover ups nyingi sana. Ila jikinge kwa faida yakoHospitali ambayo bado haijafahamika and the same story hapo tunapewa source ya kifo ????
2010 hadi 2015 lubeleje hakupita.Huyu aliwahi kuwa mbunge wa mpwapwa kweli?
Mzee G, Lubeleje ambae alikuwa mbunge wa Mpwapwa kwa miaka yote Hadi mwaka 2020, alipo katwa CCM, alikuwa mbunge wa Jimbo gani?
Uwe unasoma kilichoandikwa. Majungu yatapunguza maisha yako.Ni hii nimonia au kitu kingine ?
Ni Corona.Ni hii nimonia au kitu kingine ?
Alikuwa kikaoni akajisikia vibaya. Alikuwa akisumbuliwa na pressure na kisukari.R.I.P! Chanzo cha kifo ni nini? Maana hali si shwari!