Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga

Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga

Fuatilia kwa makini, unadhani kikwete kato familia ya kishamba?
Tumia akili kidogo, huyo mjinga anajisifia kuwa yeye sio mshamba kwa sababu tu amezaliwa Aga Khan, mimi namuambia kwani kuzaliwa Aga Khan kumemsaidia nini? Sidhani kama Kikwete amezaliwa Aga Khan na sasa ni raisi wa nchi hii. Kuzaliwa au kutozaliwa Aga Khan ni nafasi tu ambayo iko nje wa uwezo wa yule anayezaliwa na hiyo nafasi si kigezo cha wewe kuwa mjanja au mshamba, mshamba ni yule aliyezaliwa Aga Khan halafu akazani hilo tu linamqualify kuwa mjanja kama huyo f.a.l.a Sixgate.
 
Imebaki dak 0 nielekee kalenga huyu mama ni mpango wa mungu hivyo ni lazima ashinde wana kalenga fanyen kweli tunawategemea saut ya wengi si ya sheten ni ya muumba
 
Niseme tu kuwa kama kweli kitengo cha campaign cha CHADEMA kinabeba hoja majukwaani ya kusema Mgimwa ni mtu wa ughaibuni, kwangu mimi naona hiyo hoja inampaisha Mgimwa Jnr kisiasa badala ya kumshusha. Kwa mila na desturi za Tanzania, mgeni huwa anaheshimika sana hasa pale ambapo wenyeji (wazazi wake) wanakuwa wana makao maeneo hayo. Tuliona kwa Muhammad Babu, Kambona, Mzee Mapesa, Dokta W. Kaborou na wengine wengi waliporudi Tanzania kisiasa.

CHADEMA lazima wajikite around character ya mgombea wao (jinsia) kwa sababu hiyo ndiyo hasa ilimfanya akateuliwa na kamati kuu kuwa mgombea wa Kalenga lakini kikubwa zaidi, research zinaonyesha kuwa jimbo la Kalenga wapiga kura wengi ni wakina Mama.

Hizi propaganda za Uraia zimeishapitwa na wakati sanasana zinatonesha kidonda cha mawazo ya kibaguzi katika jamii, kitu ambacho hakitoa positive impact kwa CHADEMA kutokana na wimbi la tuhuma kama hizo ndani ya chama.

Ni angalizo tu.
 
Kama uliona Tatoo ya sugu basi usitembelee Uganda kwa M7 ama sivyo utakoga mvua 14
Nimesikia wafadhili wa nchi za Uholanzi na Ujerumani misaada yote ya Uganda watapeleka Chadema
 
kuna wakati huwa siamini kama kuna watu wajinga kiasi cha kudhani wao ni bora sana na wanajua kila kitu kuliko wengine. Hadi mtu anakuwa na akaunti JF ujue ana kitu kimoja au zaidi chenye manufaa. Kwa hiyo wachangiaji wa mijadala hapa mnapoleta mambo yenu binafsi na kujitapa ni kufilisika kimawazo na uwezo mdogo wa kutofautisha mambo. Hatuhitaji kujua mambo binafsi ya mtu hasa yale ambayo hayana uhusiano wowote na jamii yetu. Harafu, sasa hivi watu wanauwezo mkubwa sana wa kufikiri, kwa hiyo msilete pumba hapa kutupotezea muda
 
Acha ushamba wewe, kama umezaliwa Aga Khan then what? Kikwete hajazaliwa Aga Khan na sasa ni raisi wa nchi while wewe uliyezaliwa Aga Khan the best you can do ni kupost uharo wako hapa JF.

Kuzaliwa agakhani ndio ushamba? M just a victim of circumstance.. Fuatilia historia ya hili taifa, Nyerere angebaki huko kwao musoma apiganie uhuru bila kuja dsm.
 
Kitu kimoja ninachowapendea wana Kalenga ni kwamba Wameelimika kwa kiwango kikubwa, na hawawezi kumchagua mtu kwa kigezo kuwa baba ake alikuwa mbunge ata siku moja.

Na mpaka sasa mbunge wa wana Kalenga ndio huyu hapa.

View attachment 143255
 
Safi sana,Mingoi.Sisi hatujawahi kuiona hiyo tatoo ya Sugu,iko sehemu za siri nn?
 
Kitu kimoja ninachowapendea wana Kalenga ni kwamba Wameelimika kwa kiwango kikubwa, na hawawezi kumchagua mtu kwa kigezo kuwa baba ake alikuwa mbunge ata siku moja.

Na mpaka sasa mbunge wa wana Kalenga ndio huyu hapa.

View attachment 143255

Umefanya hata kautafiti? Wakati media za wenzetu zinatoa polls, sisi kwetu ni mmhhh!
 
Kuzaliwa agakhani ndio ushamba? M just a victim of circumstance.. Fuatilia historia ya hili taifa, Nyerere angebaki huko kwao musoma apiganie uhuru bila kuja dsm.

vp,umefikia wapi na zile dvd za wasaliti? soko lake likoje??? mngeanzia mwandiga ua lumumba fc kuzisambaza labda zingepata watu!!!
Pole sana kwa kuchagua kazi ya shetwani!!!
 
Akaendelee na biashara zake za ulanzi siasa hataziweza zinawenyewe amejaza mirasta kichwani akidhani ndiyo kivutio kumbe ni mzigo tu.


HA HA HA HA HA HA HAHAHAHAHAAHH! UWIIIIIII HAHAHAHAHAAHHAHAHHHAAHHA KWIKWIKIWKIWKIWKIWK
 
quote_icon.png
By ghwanga
Hivi huyu Sioi Mgimwa hajatoboa maskio na kuvaa mihereni ya kimamtoni?
Yeye hurembua macho tu. Labda shanga anaweza kuwa nazo

HATA MTUKANE NA KUMKEJELI VIPI HAISAIDIII HATA KIDOGO MGIMWA MBUNGE MTARAJIWA WA WANAKALENGA FULL STOP!
 
Back
Top Bottom