Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga

Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga

Kwani uzee ndiyo hoja asitafute huruma za kitoto hata kama angetoka karibu kichapo kiko pale pale atajuta anahama vyama kama slaa anyoosha maelezo tu.
Kwa picha yako na uliyoyaandika nyie ndio mnafaa kutekelezewa ile adhabu ya Museveni......
 
Hivi huyu Sioi Mgimwa hajatoboa maskio na kuvaa mihereni ya kimamtoni?
 
Wanakalenga, huo ni mtihani kwenu, wenzenu wa Arumeru mashariki walifauru mtihani huo, hiki ni kipimo kwenu kujua mmeerimika au bado mpo gizani, taifa linaangamia kwa kuendekeza uongozi wa kifamilia, na ndio maana uchumi unazidi kushuka, deni la taifa linaongezeka, huku viongozi wa ccm wakimiliki matilioni ya fedha, tunaletewa watu ambao hawajui matatizo yetu, wao wamezoea raha na starehe, watakukumbukaka wewe maskini wa Kalenga, kazi kwenu, huu ni msiba wa taifa zima, msitupelekee bungeni viongozi wa kifamilia, angalia kule Chalinze, wamemuweka mtoto wa Kikwete Ridhiwani, tunaenda wapi watanzania.
 
kama ni hivo kweli matatizo ya wanakalenga hayakuhusu. Tofauti yako na Mwingereza huyo ni mahali mnapoishi ila mwelekeo uleule
 
Chadema wakipenda chao kila sifa utasikia mara tumetoka mbali,na sifa kemu kemu zisizokuwa na tija lakini ingetoa huyu mgombea angehamia CUF,ACT au CCM angeitwa majina yote mabaya likiwemo malaya wa vyama.Hivi ndi vijimambo vya JF
 
SULTAN Godfrey Mgimwa likely atashinda sababu ya elimu duni ya uraia wa wana Kalenga!

Kama Baba yake kwa miaka yote hii alishindwa kuleta maji pale Ifunda je ni kweli SULTAN Godfrey ataweza?
 
Asitafute Huruma ya wananchi kwa ajili amegombea mara nyingi, mbona Lipumba amegombea Urais toka mwaka 1995 mpaka leo hajapata?
 
Tatizo wewe umezaliwa katika jamii ya wakulima, akili yako inawaza mbolea na pembejeo za kilimo. Unajua mama yangu anaishi wap na nimezaliwa wap?? Nimezaliwa agakani kitovu kikatupwa bahari ya hindi..mama alikuwa anaishi kota za UDSM bora hata ungesema mama yangu angezaa kompyuta ama kitabu will b more relevant. Ficha ujinga wako

Acha ushamba wewe, kama umezaliwa Aga Khan then what? Kikwete hajazaliwa Aga Khan na sasa ni raisi wa nchi while wewe uliyezaliwa Aga Khan the best you can do ni kupost uharo wako hapa JF.
 
Wanawake na maendeleo! Kalenga onesheni njia!

CCM imewadharau vyakutosha kwa kumleta mtu toka Ughaibuni kuja kuwania ubunge utadhani hapo jimboni wengine hawafai!
 
Acha ushamba wewe, kama umezaliwa Aga Khan then what? Kikwete hajazaliwa Aga Khan na sasa ni raisi wa nchi while wewe uliyezaliwa Aga Khan the best you can do ni kupost uharo wako hapa JF.
Fuatilia kwa makini, unadhani kikwete kato familia ya kishamba?
 
Jamaa wa CCM (Godfrey Mgimwa) ukimwangalia kwa jicho la karibu (zooming) utaona kabisa hayupo kwenye siasa wala ile ari ya kuwatumikia wananchi hana.. Hapa wamemlazimishia tu...akiingia bungeni atakuwa yeye ni wa yes tu mpaka bunge linaisha anarudi zake UK..
 
Tatizo wewe umezaliwa katika jamii ya wakulima, akili yako inawaza mbolea na pembejeo za kilimo. Unajua mama yangu anaishi wap na nimezaliwa wap?? Nimezaliwa agakani kitovu kikatupwa bahari ya hindi..mama alikuwa anaishi kota za UDSM bora hata ungesema mama yangu angezaa kompyuta ama kitabu will b more relevant. Ficha ujinga wako

Kwa nini useme uongo na kumkosea Muumba wako?
 
Back
Top Bottom