Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga
Bango lenye picha ya zamani ya mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega, ambalo lilitumika katika uchaguzi wa mwaka 2005, alipogombea ubunge kupitia chama cha Jahazi Asilia, ambayo mpaka sasa imetundikwa katika nyumba ya mkazi wa kijiji cha Magulilwa
Bango lenye picha ya zamani ya mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Grace Tendega, ambalo lilitumika katika uchaguzi wa mwaka 2005, alipogombea ubunge kupitia chama cha Jahazi Asilia, ambayo mpaka sasa imetundikwa katika nyumba ya mkazi wa kijiji cha Magulilwa