Nasubiri kuona Makamouni ya simu, hasa vijana wa Call center hakika wananyanyasika sana, mtu analipwa hadi 150 kwa mwezi na ndio mshahara wa kuanzia.
Kwa mujibu wa gazeti la tanzania daima kampuni ya eurolink imeeibia serikali bilioni tatu kwa kipindi cha miaka mitatu....
Unamaanisha Erolink | Developing today's managers into tomorrow's leaders.
Kwenye site yao wanadai baadhi ya wateja wao ni NBC
Wadau, serikali imepiga marufuku mawakala wa ajira baada ya watu kulalamika! What do you say? Pamoja na mambo mengine, wadau wamelalamikia tabia ya kampuni hizi kutopeleka makato ya mifuko ya jamii.
MY TAKE: Nadhani hili jambo limechelewa manake nasikia baadhi ya kampuni za uajiri ni full dhuruma. Mathalani, nasikia SPANCO, wanalipa mshahara wa sh. 270,000/ kwa customer care. Kuna wengine viwango vyao vya mishahara wala hawaangalii qualification a muhusika; provided watu wana shida ya ajira, wanajua watu watachukua chochote wapewacho.
Yeah mkuu EMT nadhani ni hao hao...nimesoma.post zote hapa na nashawishika kusema kwamba kampuni kama hizi zinawaibia wafanyakazi na serikali kwa hiki kisingizio cha outsourcing na receuitment... kweli zifungiwe
Ninachoona ni kwamba wao wanakuwa outsourced lets say na NBC wanakutafuta wanakulinkk na mwajiri lakini mshahara wanakulipa wao japo mtaani tunajua ww ni.mfanyakazi wa NBC..nadhani hapo ndo kuna loophole ya kuibiwa wafanyakazi...
Wadau, serikali imepiga marufuku mawakala wa ajira baada ya watu kulalamika! What do you say? Pamoja na mambo mengine, wadau wamelalamikia tabia ya kampuni hizi kutopeleka makato ya mifuko ya jamii.
MY TAKE: Nadhani hili jambo limechelewa manake nasikia baadhi ya kampuni za uajiri ni full dhuruma. Mathalani, nasikia SPANCO, wanalipa mshahara wa sh. 270,000/ kwa customer care. Kuna wengine viwango vyao vya mishahara wala hawaangalii qualification a muhusika; provided watu wana shida ya ajira, wanajua watu watachukua chochote wapewacho.
Sidhani kama njia muafaka ilikuwa ni kuzipiga marufuku hizo recruitment agencies, bali kuhakikisha kuwa zina-operate kwa mujibu wa sheria au taratibu zilizowekwa.
Ilichotakiwa kufanya serikali ni kulinda maslahi yake pamoja na haki za wale wanaojiriwa na kufanya kazi kupitia recruitment agencies.
Kama recruitment agencies haitafuata sheria au taratibu zilizowekwa, then kuwe na enforcement actions, following by huge fines. Lazima watatii tuu.
Lazima kuwe na restrictions and responsibilities on recruitment agencies na biashara zao, but siyo kuzipiga marufuku. Funga zile ambazo zimekataa kufuata sheria na taratibu tuu.
Kama hii habari ni kweli, then this is the worst decision for the government. Pia ni ushahidi kuwa serikali inashindwa ku-regulate the emerging businesses across the country.
Siamini kama recruitment agencies is a bad business for the country kiasi cha kuzipiga marufuku. What is bad is the failure of the government to regulate these agencies.
I think kilichopigwa marufuku siyo recruitment agencies bali ni recruitment process outsourcing. Kwa hiyo, agencies kama Radar Recruitment hawadhuriki na huu uamumzi.
Lakini kuna baadhi ya makampuni yanafanya both as recruitment agencies as well as recruitment process outsourcing. Kwa maana hiyo itabidi hizo kampuni ziachane na recruitment process outsourcing na kubakia kama recruitment agencies. Mfano: Erolink | Developing today's managers into tomorrow's leaders.[/
looh mkuu EMT??unawaongelea ni ero link gan hao zaidi ya kuwanyonya vijana wa kitanzania ,tena unawachefua watu hapa jamvini
Erolink wanawakata wafanyakazi wao mafao ya NSSF kisa eti walichelewa wao kupelaeka michango, wafanyakazi inawahusu nini?, mfano kuna jamaa yangu alifanya kazi na taasisi fulani chini yao kwa muda wa miakamiwili mkataba ulipoisha ktk mafao yake ya NSSF karibia milioni mbili aliambulia shilingi milioni moja na laki mbili tu, huu si wizi?
naandaa ushahidi toka kwa waathirika na tutahakikisha haki inapatikana.
hiki ni kilio cha muda mrefu kwa vijana japo umechelewa kidogo
looh mkuu EMT??unawaongelea ni ero link gan hao zaidi ya kuwanyonya vijana wa kitanzania ,tena unawachefua watu hapa jamvini
Unamaanisha Erolink | Developing today's managers into tomorrow's leaders.
Kwenye site yao wanadai baadhi ya wateja wao ni NBC, WWF na Barclays.