Government Ban Job Recruitment Agencies!

Government Ban Job Recruitment Agencies!

Tuwe wakweli how much do you guys earn kupitia migongo ya vijana waliosoma kupitia shida kibao kuweka miguu ndani ya ndoo,halafu shirika kubwa kama MABENKI yetu yanawapatia 2mil unampatia mtu 800 hulipi benefits zozote, wala mkataba hauko open kumjenga mfanyakazi,as long nyie mnavuna hela za makampuni vijana wanasota kweli mnatoa ajira hivi kwanini Mashirika yanakuwa na HR its not even cost effective mnavyodai its ---- companies created to grab those budgets from mashirika ili hali nyie mnajineemesha. Mama Kabaka stick to you point na kuwa more open tuko nyuma yako tunakusupport kwa hili na mashirika yote yaajiri kweli baada ya mwezi hayawezi sheria ichukue mkondo wake.Utumwa ndani ya nchi tumechoka
 
Mama anastahili hongera zake kama ni kweli, hizi agents ziligeuka mitaji ya maHR. Wadogo zetu walikuwa wanapunjwa sana Agent ilipwe 1.5M afu kijana alipwe 0.4M wapi na wapi? Hongera serikali kwa kuanza kuzishughulikia baahi ya karaha za wananchi.
 
Jambo jema sana, but can it take effective measure or its just politics, nice start, but waiting for the implimentations mama Kabaka. Thanx mtoa hoja, ilinipita hiyo
 
Sidhani kama njia muafaka ilikuwa ni kuzipiga marufuku hizo recruitment agencies, bali kuhakikisha kuwa zina-operate kwa mujibu wa sheria au taratibu zilizowekwa.

Ilichotakiwa kufanya serikali ni kulinda maslahi yake pamoja na haki za wale wanaojiriwa na kufanya kazi kupitia recruitment agencies.

Kama recruitment agencies haitafuata sheria au taratibu zilizowekwa, then kuwe na enforcement actions, following by huge fines. Lazima watatii tuu.

Lazima kuwe na restrictions and responsibilities on recruitment agencies na biashara zao, but siyo kuzipiga marufuku. Funga zile ambazo zimekataa kufuata sheria na taratibu tuu.

Kama hii habari ni kweli, then this is the worst decision for the government. Pia ni ushahidi kuwa serikali inashindwa ku-regulate the emerging businesses across the country.

Siamini kama recruitment agencies is a bad business for the country kiasi cha kuzipiga marufuku. What is bad is the failure of the government to regulate these agencies.
Kuna baadhi ya mambo yanaweza kuwa controllable lakini kuna mengine itakuwa ngumu tu hususani linapokuja suala la maslahi ya wafanyakazi. mambo kama michango ya NSSF na mengine kama hayo ni controllable lakini upunjaji wa maslahi itakuwa ngumu coz' hawa nao ni wafanyabiashara unless kama serikali i-intervene relationship kati ya employers and recruitment agencies. Nasema wa-intervene coz' wengi wao uhusiano uliopo ni kwamba employer anamlipa recruitment agency na recruitment agency ndie anajua anamlipa nini employee! So, ili waweze kutengeneza faida kubwa zaidi, wanalazimika kuwapunja wafanyakazi coz' kwa kadri wanavyowapunja zaidi ndivyo wanavyopata nyingi zaidi. Na employers huwa wanai-favor njia hii ili kujivua gharama za "other benefits" kv matibabu, likizo,n,k coz' hata kama mtu anafanya Tigo lakini anakuwa si mwajiriwa wa Tigo bali ni wa yule aliyemleta! Na kama ukizingua, employer wala hana haja ya kupoteza hata dakika moja kwako; anakurudisha tu waliokuleta na yeye ku-demand immediate replacement na legal problems zote zinakuwa kwa agent na sio kwa employer! Sasa huu uhusiano wa kuwa mfanyakazi anakuwa chini ya agent (in contrast na ile system kwamba employer anamlipa tu agent kumfanyia recruitment lakini mkataba anaingia mfanyakazi na employer) unam-favor sana employer wakati unamuumiza mfanyakazi! Na hata linapokuja suala la promotion sijui wanafanyaje manake ukienda kwenye kampuni yenye wafanyakazi wa aina mbili, kutoka kwa agent na wale employed na employer mwenyewe, basi kuna hatari favor wakawa wanapata wale wa employer mwenyewe coz' hawajibiki kwa huyu wa kuletwa!!
 
Wadau ktk taarifa ya TBC1 Hivi punde,Waziri wa kazi bi Gaudensia Kabaka atangaza kusitisha kazi za hizi recruitment agent,safi sana sana sana Mama,sababu ni zinakosesha waajiriwa kukosa haki zao kama hifadhi za jamii,mafuzo kazini,mafao ya elimu,uzazi,mikataba mifupi na makato yasiyo kuwa na tija,yaani ni unyanyasaji tu,na mengine utakayoyaona......
Safi sana sana Wizara ya kazi...Now hata Urasimu hawa jamaa huchangia sana sana.Ni kilio cha Muda Mrefu cha Vijana.
Pia ni kinyume cha sheria ya ajira.....
Really tumefurahi sana sana.....Hongera sana sana Waziri KABAKA.

safi sana, anapaswa apongezwe kwa kweli,
 
Wadau ktk taarifa ya TBC1 Hivi punde,Waziri wa kazi bi Gaudensia Kabaka atangaza kusitisha kazi za hizi recruitment agent,safi sana sana sana Mama,sababu ni zinakosesha waajiriwa kukosa haki zao kama hifadhi za jamii,mafuzo kazini,mafao ya elimu,uzazi,mikataba mifupi na makato yasiyo kuwa na tija,yaani ni unyanyasaji tu,na mengine utakayoyaona......
Safi sana sana Wizara ya kazi...Now hata Urasimu hawa jamaa huchangia sana sana.Ni kilio cha Muda Mrefu cha Vijana.
Pia ni kinyume cha sheria ya ajira.....
Really tumefurahi sana sana.....Hongera sana sana Waziri KABAKA.
Ni pamoja na Sekretariat ya ajira?
 
Nasubiri kuona Makamouni ya simu, hasa vijana wa Call center hakika wananyanyasika sana, mtu analipwa hadi 150 kwa mwezi na ndio mshahara wa kuanzia.
 
Temp agencies siyo mbaya hata kidogo. Muhimu ni kuhakikisha zinafuata sheria.
Service zao ni mzuri, lakini asikuambie mtu ndugu yangu; hawa wa tanzania ni balaha na wala usiombe kuajiriwa thru these guys unless uwe umepitia tu kwa agent na sio kama wanavyofanya wengi wao kwamba hata contract, unaingia nao wao. Labda njia pekee ni kutunga sheria kwamba, Recruitment Agency abaki kuwa agent tu lakini mkataba uwe ni kati ya mfanyakazi na mwajiri. Hata hivyo, uhusiano wa aina hii employers wanaelekea hawaupendi kwa ajili ya kukwepa gharama kama vile matibabu, usafiri, ukifa usafirishwe hadi kwenu nd so on!
 
Naona kunakuchanganya mada. Recruitment agent wanafanya kazi kusaidia waajiri kutafuta wafanyakazi kwa kuwachuja kwa kushirikiana na mwajiri. Kuna baadhi wanauza kazi na wengine kuficha cv zenye bguvu na kupeleka cv chovu za jamaa zao.
Hili ni tofauti na outsourcing ya baadhi huduma ambapo mwajiri huajiri kampuni itayompa huduma badala ya yeye kuhangaika na kada hiyo ya wafanyakazi. Mf. Walinzi. vibarua nk. Sasa hivi makampuni yanahangaika na core business na support services kama It au açcounting.security.currier zinapewa kampuni ambazo zimeundwa na kuspecialize kazi hizo. Hata www go.tz ni wakala wa ajira.
 
OK asante kaka kwa taarifa... Ila mm sioni umuhimu wa kufunguwa, sometimes wanasaidia sana kutafutia kazi vijana, badhii yao ndio wapo whuni ila agencies zingine wko safi sana
Kutafutia kazi hapana, wao wanaletewa nafasi na clients wao kisha wana-recruit...labda sema wanarahisisha mambo sema wanabana sana....hawa jamaa wanawanyonya sana wafanyakazi.
 
Ooh kumbe,it was a thriving business naona,
sikupenda ile wanayopunja watu mishahara yao,mbaya sana,
si wabaki kuwa recruiters tu mambo ya kulipana yawe yote kikamilifu juu ya mwajiri..
 
Wadau ktk taarifa ya TBC1 Hivi punde,Waziri wa kazi bi Gaudensia Kabaka atangaza kusitisha kazi za hizi recruitment agent,safi sana sana sana Mama,sababu ni zinakosesha waajiriwa kukosa haki zao kama hifadhi za jamii,mafuzo kazini,mafao ya elimu,uzazi,mikataba mifupi na makato yasiyo kuwa na tija,yaani ni unyanyasaji tu,na mengine utakayoyaona......
Safi sana sana Wizara ya kazi...Now hata Urasimu hawa jamaa huchangia sana sana.Ni kilio cha Muda Mrefu cha Vijana.
Pia ni kinyume cha sheria ya ajira.....
Really tumefurahi sana sana.....Hongera sana sana Waziri KABAKA.


Hata mimi nimemsikia. Huu mtindo wa outsourcing ulianzishwa na wawekezaji ili ku underpay wazawa wasio na utaalamu. Kwa mfano Petrol pump attendants/customer service mishahara yao kny makampuni ya mafuta/simu kwa rates zilizopangwa na serikali, ni shs 350,000/=, kwa hiyo wanaamua ku outsource na kuwalipa shs 150,000/=. Serikali ie wizara ya kazi wamekuwa wanafahamu hilo kwa muda mrefu na kuwa ndiyo wamekuwa wanatoa vibali hivyo.
Huduma kwa wateja kny haya makampuni ya simu wafanyakazi wake ni outsourced, wanalipwa mishahara midogo sana. Inasikitisha! Serikali ndiyo imekuwa kny lawama all along, lkn ilikuwa si sikivu
 
Naona kunakuchanganya mada. Recruitment agent wanafanya kazi kusaidia waajiri kutafuta wafanyakazi kwa kuwachuja kwa kushirikiana na mwajiri. Kuna baadhi wanauza kazi na wengine kuficha cv zenye bguvu na kupeleka cv chovu za jamaa zao.
Hili ni tofauti na outsourcing ya baadhi huduma ambapo mwajiri huajiri kampuni itayompa huduma badala ya yeye kuhangaika na kada hiyo ya wafanyakazi. Mf. Walinzi. vibarua nk. Sasa hivi makampuni yanahangaika na core business na support services kama It au açcounting.security.currier zinapewa kampuni ambazo zimeundwa na kuspecialize kazi hizo. Hata www go.tz ni wakala wa ajira.


imeweka powa kiongozi...
 
Waziri amejiingiza kwenye mgogoro na Chama cha waajiri ATE na Tanzania Private Sector Foundation kwani wana mikataba ambayo kuivunja kuna madhara. Hata ki muundo wa mashirika mengine hizo idara au section hazipo. Sio rahisi kama watu wanavyoshabikia.
 
Wadau, serikali imepiga marufuku mawakala wa ajira baada ya watu kulalamika! What do you say? Pamoja na mambo mengine, wadau wamelalamikia tabia ya kampuni hizi kutopeleka makato ya mifuko ya jamii.

MY TAKE: Nadhani hili jambo limechelewa manake nasikia baadhi ya kampuni za uajiri ni full dhuruma. Mathalani, nasikia SPANCO, wanalipa mshahara wa sh. 270,000/ kwa customer care. Kuna wengine viwango vyao vya mishahara wala hawaangalii qualification a muhusika; provided watu wana shida ya ajira, wanajua watu watachukua chochote wapewacho.
Sidhani kama alimaanisha recruitment companies. Ila nafikiri alimaanisha outsourci ng companies. Yaani kampuni moja onachukua tender ya kufanya kazi flani kwenye kampuni nyingine. ile inayotoa tender inamlipa outsouced company hela nyingi na ile outsourced company inawalipa wafanyakazi ujira kidogo ili ibaki na faida.

Recruitment agents ni tofauti maana wao wanalipwa one time payment na mteja wao. Mara zote haiathiri mshahara wa mwajiriwa kwa sababu hakuna monthly payment.

Outsourcing ni trend ya kibiashara ambayo haiwezi kuondoka kwa maneno ya waziri. inaelekea waziri hajui inachokiongea kwa kuwa sera ya serikali ni kuoutsource non core activities. Na kazi kama ulinzi na usafi kwenye taasisi almost zote za serikali zimekuwa outsourced. Je ataanza kuwaajiri wote hao. Ni trend ya dunia nzima.
 
Back
Top Bottom