Government Ban Job Recruitment Agencies!

Government Ban Job Recruitment Agencies!

Sidhani kama njia muafaka ilikuwa ni kuzipiga marufuku hizo recruitment agencies, bali kuhakikisha kuwa zina-operate kwa mujibu wa sheria au taratibu zilizowekwa.

Ilichotakiwa kufanya serikali ni kulinda maslahi yake pamoja na haki za wale wanaojiriwa na kufanya kazi kupitia recruitment agencies.

Kama recruitment agencies haitafuata sheria au taratibu zilizowekwa, then kuwe na enforcement actions, following by huge fines. Lazima watatii tuu.

Lazima kuwe na restrictions and responsibilities on recruitment agencies na biashara zao, but siyo kuzipiga marufuku. Funga zile ambazo zimekataa kufuata sheria na taratibu tuu.

Kama hii habari ni kweli, then this is the worst decision for the government. Pia ni ushahidi kuwa serikali inashindwa ku-regulate the emerging businesses across the country.

Siamini kama recruitment agencies is a bad business for the country kiasi cha kuzipiga marufuku. What is bad is the failure of the government to regulate these agencies.

Kinachotokea hapa ni habari ya "Mtego wa panya uwanasao wakusudiwao na wasokusudiwa".

Recruitment agencies zina mengi ya kutia shaka na hasira, si Tanzania tu, mpaka wenzetu walioendelea na kuweka misingi ya tawala za sheria tunaliona hili. Hususan kwa sababu mambo ya ajira yanagubikwa na usiri unaotetewa na mikataba ya kikazi pengine. Unaingia kwenye recruitment agency kitu cha kwanza inakupa ku sign ni confidentiality notice, ambamo humo unaona kwamba huruhusiwi kujadili mshahara wako na huko utakapofanya kazi (especially so when it comes to consultancy jobs).

Kwa hiyo ndipo hapo unakuta habari kama hizo zilizosemwa za madereva hapo juu. Agency inakulipa 270,000, mtu unatoka bench ulikuwa huna kazi unasema hewalla. Kisha ushaambiwa huna ruhusa kuzungumzia mshahara huko utakakofanyia kazi. Kumbe huko unakofanyia kazi wanawalipa agency 400,000 , wajanja wanachikichia130,000 nzima kama vile wanapinda mgongo na wewe.

Nakubaliana na wewe kuna namna za ku regulate haya mambio, kwa mfano, serikali inaweza kuweka sheria mama inayoongoza confidentiality clauses zote, kwamba mfanyakazi ana haki ya kujua akilipwa kiasi x, agency inalipwa kiasi gani.Kumlinda asifanywe punda na wajanja wachache ambao watakuja kugawana naye mshahara nusunusu tu eti kwa sabbau wao ndio wamefungua kikampuni kilichomuunganishia kazi, wakati kwa misingi yetu ile ya zamani ya Azimio la Arusha huu ni ukupe tu, hawana wanalochangia la maana hivyo, at best they should get a one time fee, from the employer.

On the other hand, serikali kuingilia sana mambo ya biashara za watu binafsi pia inajionesha iko anti-business and anti enterpreneur. Kitu ambacho wafanyabiashara wakubwa/ wawekezaji wanakiangalia. Inaweza kujenga image ya kwamba ina meddle too much in the free market (as dubious as the entire "invisible hand" idea is, some people still put so much stock in it).

Kwa hiyo, middle ground between banning the agencies and letting them scott free in a laissez-faire heaven, your solution, that of regulating the industry, even severely regulating them with stringent stipulations, is much preferrable to me.

That way, the government will neither be totalitarian nor sleeping at the wheel.
 
Kama wamezifuta basi na mimi natafuta House Girl mwenye kuelewa kiingereza na kuongea japo kidogo lugha hiyo...
 
Recruitment agencies zina mengi ya kutia shaka na hasira, si Tanzania tu, mpaka wenzetu walioendelea na kuweka misingi ya tawala za sheria tunaliona hili. Hususan kwa sababu mambo ya ajira yanagubikwa na usiri unaotetewa na mikataba ya kikazi pengine. Unaingia kwenye recruitment agency kitu cha kwanza inakupa ku sign ni confidentiality notice, ambamo humo unaona kwamba huruhusiwi kujadili mshahara wako na huko utakapofanya kazi (especially so when it comes to consultancy jobs).

Kwa hiyo ndipo hapo unakuta habari kama hizo zilizosemwa za madereva hapo juu. Agency inakulipa 270,000, mtu unatoka bench ulikuwa huna kazi unasema hewalla. Kisha ushaambiwa huna ruhusa kuzungumzia mshahara huko utakakofanyia kazi. Kumbe huko unakofanyia kazi wanawalipa agency 400,000 , wajanja wanachikichia130,000 nzima kama vile wanapinda mgongo na wewe.

Nakubaliana na wewe kwenye hiyo point, lakini nchi nyingi hasa zilizoko ndani ya European Union zimetengeneza sheria to the effect that secrecy/confidential clauses za aina hiyo kwenye mikataba ya kazi are unenforceable. Kwa mfano, hiyo sheria ya EU imekuwa implemented in the United Kingdom through the Equality Act 2010.

According to section 77 of that Act, "A term of a person's work that purports to prevent or restrict the person (P) from disclosing or seeking to disclose information about the terms of P's work is unenforceable against P in so far as P makes or seeks to make a relevant pay disclosure."

It goes on to state that "A term of a person's work that purports to prevent or restrict the person (P) from seeking disclosure of information from a colleague about the terms of the colleague's work is unenforceable against P in so far as P seeks a relevant pay disclosure from the colleague; and "colleague" includes a former colleague in relation to the work in question."

Further, "A disclosure is a relevant pay disclosure if made for the purpose of enabling the person who makes it, or the person to whom it is made, to find out whether or to what extent there is, in relation to the work in question, a connection between pay and having (or not having) a particular protected characteristic.

Although this section does not outlaw secrecy/confidential clauses, it does make them unenforceable in certain circumstances.

I think the United States is moving in the same direction. See, for example, the First Circuit case of NLRB v. Northeastern Land Services (2011) in which it was held that "confidentiality clauses in employment contracts can constitute a per se violation of employees' protected employee rights under the National Labor Relations Act (NLRA) if the clauses can be read as prohibiting all discussions of wages, hours, and working conditions." Beware Of Broad Confidentiality Clauses In Employment Contracts-And The Expanding Application Of The National Labor Relations Act - Employment and HR - United States

Kwa huku kwetu, there is still a long way to go maana hata anayemwajiri Rais hajui anamlipa kiasi gani sembuse mwajiriwa kujua mshahara wa mwajiriwa mwenzake? Halafu kuna wale ambao wakiulizwa kwa mema tuu anajiboost kuwa analipwa mara tatu ya the actual salary ili ku-impress aliye mbele yake au ku-cover rushwa anazochukua.

Bado nina wasiwasi kama mleta mada ameiripoti hiyo habari kama ilivyotolewa. A blanket ban for all recruitment agencies? I don't think so.
 
Kwa huku kwetu, there is still a long way to go maana hata anayemwajiri Rais hajui anamlipa kiasi gani.

Huh? Wewe si kuna wakati ulinipa link ya mtu anayedai anaujua mshahara wa rais? Au nimesahau?

Eti The Boss, kwani mshahara wa rais si unajulikana?
 
Last edited by a moderator:
Service zao ni mzuri, lakini asikuambie mtu ndugu yangu; hawa wa tanzania ni balaha na wala usiombe kuajiriwa thru these guys unless uwe umepitia tu kwa agent na sio kama wanavyofanya wengi wao kwamba hata contract, unaingia nao wao.

Kwa kweli huduma zao ni nzuri maana huwa zinawaunganisha watu na sehemu za ajira. Sasa kwa Tanzania karibu kila kitu ni balaa. Hakuna nafuu popote pale.

Labda njia pekee ni kutunga sheria kwamba, Recruitment Agency abaki kuwa agent tu lakini mkataba uwe ni kati ya mfanyakazi na mwajiri.

Kwani hao jamaa wa bongo wao wanatoa huduma gani sasa hivi? Wana temp-to-hire services? Hicho unachopendekeza wewe si kizuri kwa mtazamo wangu kwa sababu kitaibania sana hiyo sekta na itayanyima makampuni fursa ya kumtathmini mtu kwenye utendaji wake wa kazi.

Kwa sababu kuna makampuni mengine huwa yanatumia hao mawakala katika kutafuta prospective employees. Mtu anaajiriwa kwanza na wakala (na mshahara anakuwa analipwa na wakala) halafu wakala kulingana na sifa za mtu ndo anatoa assignment kwamba fulani atapangiwa sehemu fulani na kadhalika.

Huko unakoenda kufanya kazi waweza kukuta baada ya kipindi fulani (tuseme miezi miwili au mitatu) kulingana na utendaji wako wa kazi unaweza kuajiriwa na hivyo kuwa mwajiriwa wa kampuni ambayo ulipelekwa kufanya assignment na hiyo temp agency.

Kwa hiyo ni kama namna fulani ya kuchuja waajiriwa watarajiwa kuliko kuajiri tu mtu moja kwa moja bila kujua hata utendaji wake wa kazi kiuhalisia ukoje.
 
Naona kunakuchanganya mada. Recruitment agent wanafanya kazi kusaidia waajiri kutafuta wafanyakazi kwa kuwachuja kwa kushirikiana na mwajiri. Kuna baadhi wanauza kazi na wengine kuficha cv zenye bguvu na kupeleka cv chovu za jamaa zao.

Hili ni tofauti na outsourcing ya baadhi huduma ambapo mwajiri huajiri kampuni itayompa huduma badala ya yeye kuhangaika na kada hiyo ya wafanyakazi. Mf. Walinzi. vibarua nk. Sasa hivi makampuni yanahangaika na core business na support services kama It au açcounting.security.currier zinapewa kampuni ambazo zimeundwa na kuspecialize kazi hizo. Hata www go.tz ni wakala wa ajira.

Nimeisikiliza hiyo habari kupitia TBC, wanasema kuwa serikali imesitisha utaratibu wa kampuni kutoa ajira kwa kutumia mawakala kwa sababu utaratibu huo unakiuka haki za wafanyakazi na wanawakosesha huduma za msingi kwa mujibu wa sheria za kazi.

Hayo yameelezwa na Waziri wa wizara husika kuwa Sheria ya Ajira No. 9 ya mwaka 1999 inaweka wazi utaratibu wa ajira ambao siyo kupitia kwa mawakala.

Kwa hiyo hapo, mawakala alikuwa na maana tuu ya wale wanao-outsource?
 
Duuu kwahyo sie tuliopo na hizo agencies ina maana tutafukuzwa kazi?

Waziri amewataka waajiri na wakala kuhamasisha wafanyakazi waliokodishwa kuhama kutoka kwa mawakala kwenda na kuajiriwa moja kwa moja na kampuni husika ndani ya kipindi cha mwezi mmoja.

Unaposema kuwa unafanya na agency una maana unafanya na wakala?
 
Kuna baadhi ya mambo yanaweza kuwa controllable lakini kuna mengine itakuwa ngumu tu hususani linapokuja suala la maslahi ya wafanyakazi. mambo kama michango ya NSSF na mengine kama hayo ni controllable lakini upunjaji wa maslahi itakuwa ngumu coz' hawa nao ni wafanyabiashara unless kama serikali i-intervene relationship kati ya employers and recruitment agencies. Nasema wa-intervene coz' wengi wao uhusiano uliopo ni kwamba employer anamlipa recruitment agency na recruitment agency ndie anajua anamlipa nini employee! So, ili waweze kutengeneza faida kubwa zaidi, wanalazimika kuwapunja wafanyakazi coz' kwa kadri wanavyowapunja zaidi ndivyo wanavyopata nyingi zaidi. Na employers huwa wanai-favor njia hii ili kujivua gharama za "other benefits" kv matibabu, likizo,n,k coz' hata kama mtu anafanya Tigo lakini anakuwa si mwajiriwa wa Tigo bali ni wa yule aliyemleta! Na kama ukizingua, employer wala hana haja ya kupoteza hata dakika moja kwako; anakurudisha tu waliokuleta na yeye ku-demand immediate replacement na legal problems zote zinakuwa kwa agent na sio kwa employer! Sasa huu uhusiano wa kuwa mfanyakazi anakuwa chini ya agent (in contrast na ile system kwamba employer anamlipa tu agent kumfanyia recruitment lakini mkataba anaingia mfanyakazi na employer) unam-favor sana employer wakati unamuumiza mfanyakazi! Na hata linapokuja suala la promotion sijui wanafanyaje manake ukienda kwenye kampuni yenye wafanyakazi wa aina mbili, kutoka kwa agent na wale employed na employer mwenyewe, basi kuna hatari favor wakawa wanapata wale wa employer mwenyewe coz' hawajibiki kwa huyu wa kuletwa!!

Kabla ya yote, let's get things straight. Nimesikiliza muhktasari wa habari TBC wao wametumia neno "wakala".

Kwenye heading ya thread ume-refer "recruitment agencies", kwenye post ya kwanza "wakala" na kwenye hii post "recruitment agencies".

Kuna baadhi ya wachangiaji kama maringeni na iMind wanadai kuwa tunaweza tukawa tunachanganya madesa hapa.

Wanadai kilichopigwa marufuku ni "outsourcing" companies na siyo "recruitment agencies". Kati ya hao wawili nani "wakala" ambao wamepigwa marufuku?

Hata kama Waziri alikuwa anamaanisha "wakala" kama "outsourcing" companies, I am sure kuna watu wanafanya kazi serikalini kwa kupitia hayo hayo makampuni. Kwa hiyo, serikali itawahamisha hao watu na kuwaajiri ndani ya mwezi mmoja?
 
Sasa kama mnazifungia, boksi tukapige wapi? Temp-to-Hire after 90 days

5609365.JPG
adecco_header_3.jpg
 
Serikali kuwafungia hao jamaa sio fair. Walitakiwa wake nao chini na waje na regulations zaitakazokubalika pande zote mbili. e.g. Temp-to-Hire etc
 
Hata hiyo ya Serikari naona inazidiwa kete na baadhi ya waajiri kama TPA wamefanya mchakato Bodi ya TPA ikachukua humo humo ndani na naona kimya hakuna hatua ikiyochukuriwa.
TPA waangaliwe na hayo maamuzi ya Bodi yatenguriwe process iendelee.kwa haki.
 
Serikali kuwafungia hao jamaa sio fair. Walitakiwa wake nao chini na waje na regulations zaitakazokubalika pande zote mbili. e.g. Temp-to-Hire etc

Swali langu ni serikali imepiga marufuku mawakala wa aina gani?

Nafikiri tunachanganya kati ya "recruitment agency" na "Recruitment process outsourcing". Hivyo ni vitu viwili tofauti.

A recruitment agencies "serve as intermediaries between workers and employers, with the stated goal of matching the companies' needs with the workers' skills and interests."

By contrast, recruitment process outsourcing "refers to a type of business process outsourcing (BPO) tailored specifically to human resource management tasks. When hiring new employees, human resource personnel must select and screen candidates, match their skill sets with appropriate positions, interview the prospective employees, and send chosen candidates on for orientation and employment paperwork. These steps entail the recruitment process in its entirety."

Source: What Is Recruitment Process Outsourcing?

Kwa hiyo, I think kilichopigwa marufuku siyo recruitment agencies bali ni recruitment process outsourcing. Kwa hiyo, agencies kama Radar Recruitment hawadhuriki na huu uamumzi.

Lakini kuna baadhi ya makampuni yanafanya both as recruitment agencies as well as recruitment process outsourcing. Kwa maana hiyo itabidi hizo kampuni ziachane na recruitment process outsourcing na kubakia kama recruitment agency. Mfano: Erolink | Developing today's managers into tomorrow's leaders.
 
Swali langu ni serikali imepiga marufuku mawakala wa aina gani?

Nafikiri tunachanganya kati ya "recruitment agency" na "Recruitment process outsourcing". Hivyo ni vitu viwili tofauti.

A recruitment agencies "serve as intermediaries between workers and employers, with the stated goal of matching the companies' needs with the workers' skills and interests."

By contrast, recruitment process outsourcing "refers to a type of business process outsourcing (BPO) tailored specifically to human resource management tasks. When hiring new employees, human resource personnel must select and screen candidates, match their skill sets with appropriate positions, interview the prospective employees, and send chosen candidates on for orientation and employment paperwork. These steps entail the recruitment process in its entirety."

Source: What Is Recruitment Process Outsourcing?

Kwa hiyo, I think kilichopigwa marufuku siyo recruitment agencies bali ni recruitment process outsourcing. Kwa hiyo, agencies kama Radar Recruitment hawadhuriki na huu uamumzi.

Lakini kuna baadhi ya makampuni yanafanya both as recruitment agencies as well as recruitment process outsourcing. Kwa maana hiyo itabidi hizo kampuni ziachane na recruitment process outsourcing na kubakia kama recruitment agency. Mfano: Erolink | Developing today's managers into tomorrow's leaders.
Shukran, bossman kwa kunielimisha.
 
Bongo bwana, sasa huyu mama katumia sheria gani kuzifungia??!! Hao jamaa kama wako makini wakienda mahakamani wanashinda.
 
Back
Top Bottom