Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 336
hii imekaa poa sana Good start mama...binafsi nakupongeza kwa kuliona hili. ambalo linawakumba waanga wa ajira nchini ni sahihi kabla ya kutoa au kutangaza mkakati wa kuwapatia ajira vijana na wengine ni vizuri umeliona hili je ajira zilizopo utaratibu uko fair..hili NAKUPONGEZA wewe na wizara yako..na washaauri wako :A S thumbs_up:
Pia katika suala hili la ajira...hebu wizara iangalie mikataba inayotolewa na International NGO nchini..ni mikataba ambayo inamnyonya mtanzania au mawajiriwa mzawa. NGO imepata project ya miaka 4 au 3 lakini mkataba wa wafanyakazi wake ni mwaka mmoja reniwable..hii inapunguza sana security ya huyu mwajiriwa, dhamana ya mikopo ni shida toka ktk mabenk wakiangalia mkataba wake wa mwaka mmoja tu.
Katika NGO hizo hizo suala la ku-nationalize work policy wizara ina uwezo kufanya hizi asas za kimataifa kufuata sera ya kazi ya Tanzania...mfano issue za likizo, bima za afya, pension...kuna haja maafisa kazi wa mikoa kufanya reality check visit ktk NGO hizi za nje kuona wameweza vipi kunitionalize policy zao.....!! kumbuka wizara hii ilionekana pia pale mrema alipoichukua toka mambo ya ndani..tuliona wahind walivoangaika.....!!!!
Pia katika suala hili la ajira...hebu wizara iangalie mikataba inayotolewa na International NGO nchini..ni mikataba ambayo inamnyonya mtanzania au mawajiriwa mzawa. NGO imepata project ya miaka 4 au 3 lakini mkataba wa wafanyakazi wake ni mwaka mmoja reniwable..hii inapunguza sana security ya huyu mwajiriwa, dhamana ya mikopo ni shida toka ktk mabenk wakiangalia mkataba wake wa mwaka mmoja tu.
Katika NGO hizo hizo suala la ku-nationalize work policy wizara ina uwezo kufanya hizi asas za kimataifa kufuata sera ya kazi ya Tanzania...mfano issue za likizo, bima za afya, pension...kuna haja maafisa kazi wa mikoa kufanya reality check visit ktk NGO hizi za nje kuona wameweza vipi kunitionalize policy zao.....!! kumbuka wizara hii ilionekana pia pale mrema alipoichukua toka mambo ya ndani..tuliona wahind walivoangaika.....!!!!