Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,369
- 5,512
Kutoka Mbeya, George Mwakalinga aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mwakyembe la Kyela mkoani Mbeya, amehamia CHADEMA Muda sio mrefu.
Ni vizuri pia kupata wasifu wa huyu mtu; je, anafahamika kiasi cha kuwa "breaking news". Alikuwa na uzito gani kisiasa na kiuongozi? Na ataongeza thamani gani CHADEMA wakati huu? Sidhani kila (mtu binafsi) anayehamia CHADEMA ni "habari".