Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

Haya maccm ni kuyafukuzia mbali ksbisaaa.............WANYONYAJI WAKUBWA!!
 
Lazima mjiulize hao wanaohama ni kwa maslahi ya wananchi au ya kibinafsi? Kumbuka wote waliohama wakiongozwa na EL wanatoa sababu za kuwa hawakutendewa haki katika kupata madaraka, hakuna aliyesema kahama ili kusaidia wananchi.
 
Dan, huyu ndugu yangu wa damu alikuwa ni CCM hasa yaani wa damu na tayari kufia CCM.......

Nimepata habari kuwa tayari kashapewa ticket ya kugombea kwa kupitia UKAWA......

Kweli mwisho wa CCM ni mwaka huu.....

CCM imekufaaa hiii! hiii! Ccm yanguuuu.. Wewe Lowassa unaroho mbayaaa jamaniiii aaah! Sisi mafisadi tutajificha wapiii... Aaaa a a aa..
 
Duh! Nape unaandika lakini? ........ haya na yule mwenyekiti wa DODOMA je?
 
Siamini kama chama cha babu na baba ndo kinaondoka..... Cryyyyyyy!
 
Hivi leo vyoo vya lumumba kuna maji ya kutosha maana wanapishana kwenda kuhara kwa kasi ya ajabu,

Sijui wamekula maharage gani !
 
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.

u may be right lakini inawezekana pia hesabu haukufaulu vizuri maana hesabu ya 2-1 unapata1ikimaanisha chama kinapoteza wanachama ambao ndio wapiga kura japo kura ni siri ya mtu
 
Kutoka Mbeya, George Mwakalinga aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mwakyembe la Kyela mkoani Mbeya, amehamia CHADEMA Muda sio mrefu.

Angalizo ni kwamba Chadema sasa ina elekea kuwa CCM B.
Hao wana hama na itikadi zao za kiccm. Msije kufurahia sasa mkajuta baadaye.
 
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.

Kwani ufisadi wameuanzia njiani wakati wanakuja CHADEMA? Siwalikuwa hivyo hivyo wakiwa huko CCM. Sisi huku tunawapokea tunawatubisha na kuwaombea kisha wanakuwa safi ngoma inaendelea hatuwalei kama nyie.
 
Karibuni tumsindikize EL kuchukua form za urais kesho
 
ndio maana wamekataliwa ccm kwakuwa ni oil chafu nyie subiri octoba mtaona engine yenu itakavyo noki.
 
Lazima mjiulize hao wanaohama ni kwa maslahi ya wananchi au ya kibinafsi? Kumbuka wote waliohama wakiongozwa na EL wanatoa sababu za kuwa hawakutendewa haki katika kupata madaraka, hakuna aliyesema kahama ili kusaidia wananchi.

Tatizo nyie mapoliccm mnakulana wenyewe kwa wenyewe kwenye safari yenu ya kuelekea ikulu. Na hamtafika mtamalizana njiani kitakachofika ikulu ni habari tu kuwa mlikuwa mnaelekea huko.
 
Mwakyembe alimchezea rafu mbaya sana huyu jamaa, maana hata wanachama wa CCM walikuwa wakimpinga waziwazi kabisa mh. Mwakyembe wakati wakijieleza.
njama za kuhakikisha Kyela fm inafungwa zitaizika kabisa ccm kyela .
 
ccm tupa kule makabrasha yake watunzie watoto kuwa hapo zamani walikuwepo ngunguli ccm
 
Hatukubali! haiwezekani wanaCCM wenzetu waondoke bure hapa kuna jambo la msingi. Akianani mpaka ifike oktoba atabaki JK.
 
Back
Top Bottom