mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.
Nenda mahakamani acha kuhukumu usijehukumiwa wewe.