Chama kilicholeta umaskini kwa Watanzania,huduma za kijamii mbovu,rushwa. Mwaka uu hichi chama lazma kiwe historia kama KANU.jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia
Kinaelekea shimoni ndg yangu, jana na juzi kilikuwa icu, msafara wa kukipeleka makaburini unakaribia kufika.
Kama hao wasafi waliobakia ni kina Nape, JK, Kinana, Chenge na Tibaijuka, basi tunawatakia kila la heri.
Ukawa acheni kituulia chama inatosha hao mliowachukua
Haya maccm ni kuyafukuzia mbali ksbisaaa.............WANYONYAJI WAKUBWA!!
Hatukubali! haiwezekani wanaCCM wenzetu waondoke bure hapa kuna jambo la msingi. Akianani mpaka ifike oktoba atabaki JK.
ccm tupa kule makabrasha yake watunzie watoto kuwa hapo zamani walikuwepo ngunguli ccm
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.
Ile ccm mbovu yote inahamia chadema, soon kitakuwa ni wale wale katika jezi za bluu.
siasa za mwakyembe zitaua ccm kyela .
ndio maana wamekataliwa ccm kwakuwa ni oil chafu nyie subiri octoba mtaona engine yenu itakavyo noki.
Msije tu mkasema kura zimeibwa.maana mkishaanguka ndio majibu yenu hayo.
Things Fall Apart
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.
Tumekaribia pwani sasa.