Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

Umeishamtosa mtu wako uliyekuwa unampigia kampeni sikuzote humu?kweli Chadema pesa mbele kuliko misingi.
aliyekudanganya kwamba mwakalinga kaja kugombea ubunge ni nani ? halafu zaidi ya robo 3 ya kura alizopata mwakyembe ni magumashi matupu ! kadi mpya zimegawiwa kwa kila mtu , NJEMUKE , ABULISYA UBWALWA NA WENGINE CHUNGU MBOVU , wakati ukifika tutaweka kila kitu wazi , bila faulo mwakyembe asingeshinda maoni , muulize kiongozi wako hunter mwakifuna , anajua kila kitu .
 
jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia
sasa unamwambia kiongozi gani wakati viongozi wako wote washavurugwa na mafuriko,wasubiri goli lao la mikono kama hawatapata ukoma wa vidole,UKAWA mchezo
 
aliyekudanganya kwamba mwakalinga kaja kugombea ubunge ni nani ? halafu zaidi ya robo 3 ya kura alizopata mwakyembe ni magumashi matupu ! kadi mpya zimegawiwa kwa kila mtu , NJEMUKE , ABULISYA UBWALWA NA WENGINE CHUNGU MBOVU , wakati ukifika tutaweka kila kitu wazi , bila faulo mwakyembe asingeshinda maoni , muulize kiongozi wako hunter mwakifuna , anajua kila kitu .

Hivi bado hujui kuwa baada ya kupewa nafasi ya kugombea ubunge ndio kaenda kuchukua kadi ya Chadema?akina Mwamanyaki wenu pamoja na kuhangaika na chama na kugombea kura za maoni hawajafika bei, Mwakalinga kaenda kuongea vizuri basi kapewa hiyo nafasi japo hakuwepo kwenye uteuzi wa awali uliofanywa kwa kura za maoni.

Nyie vijana angaikeni tu na chama,pigweni mabomu, lakini muda ukifika mie mwenyewe ninayekusema kila siku hapa kama ningekatwa CCM basi ningekuja huko kununua nafasi Chadema na wewe na akina ChademaKwanza hapa ata kama mlishinda kura za maoni mngekatwa tu ili nipewe mie.Ndio Chadema ya sasa, kupata ugombea ni pesa yako tu.
 
Ni vizuri pia kupata wasifu wa huyu mtu; je, anafahamika kiasi cha kuwa "breaking news". Alikuwa na uzito gani kisiasa na kiuongozi? Na ataongeza thamani gani CHADEMA wakati huu? Sidhani kila (mtu binafsi) anayehamia CHADEMA ni "habari".
huyu ndiye mtu aliyediriki kuwaunganisha wana kyela wote , ngyekye , bujonde , ikolo , kajunjumele , ngana , isaki , boda , matema , ipinda , njugilo , busale , kapamisya , mbako , kilasilo nk kwa kitu kinachoitwa kyela fm.
 
Hivi bado hujui kuwa baada ya kupewa nafasi ya kugombea ubunge ndio kaenda kuchukua kadi ya Chadema?akina Mwamanyaki wenu pamoja na kuhangaika na chama na kugombea kura za maoni hawajafika bei, Mwakalinga kaenda kuongea vizuri basi kapewa hiyo nafasi japo hakuwepo kwenye uteuzi wa awali uliofanywa kwa kura za maoni.

Nyie vijana angaikeni tu na chama,pigweni mabomu, lakini muda ukifika mie mwenyewe ninayekusema kila siku hapa kama ningekatwa CCM basi ningekuja huko kununua nafasi Chadema na wewe na akina ChademaKwanza hapa ata kama mlishinda kura za maoni mngekatwa tu ili nipewe mie.Ndio Chadema ya sasa, kupata ugombea ni pesa yako tu.
uongo utakusaidia nini mkuu ?
 
Hapa umejionyesha rangi yako kuwa ni Mwakyembe team.

Sasa subiri mpambano wa october. Hayo ya Chadema na Ukawa wewe hayakuhusu.

Mwakalinga kaombwa kwa nuda mrefu kuhamia Chadema na hata hao walioshinda, pia wanamtaka.

Haa ha ha unauliza kirungu polisi?malaya wa kisiasa uwa wanahama baada ya kukatwa;

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo, Katibu wa CCM Wilaya ya Kyela, Eva Degeleki alisema Dk Mwakyembe aliibuka mshindi kwa kujizolea kura 15,516 akifuatiwa na George Mwakalinga aliyeambulia kura 4,905.
 
Naona inakuuma sana Mwakalinga kuingia kwenye mpambano wa kweli na Nguvu ya Ukawa.

Kama vipi basi kula limao.

Hivi bado hujui kuwa baada ya kupewa nafasi ya kugombea ubunge ndio kaenda kuchukua kadi ya Chadema?akina Mwamanyaki wenu pamoja na kuhangaika na chama na kugombea kura za maoni hawajafika bei, Mwakalinga kaenda kuongea vizuri basi kapewa hiyo nafasi japo hakuwepo kwenye uteuzi wa awali uliofanywa kwa kura za maoni.

Nyie vijana angaikeni tu na chama,pigweni mabomu, lakini muda ukifika mie mwenyewe ninayekusema kila siku hapa kama ningekatwa CCM basi ningekuja huko kununua nafasi Chadema na wewe na akina ChademaKwanza hapa ata kama mlishinda kura za maoni mngekatwa tu ili nipewe mie.Ndio Chadema ya sasa, kupata ugombea ni pesa yako tu.
 
Nasikitika kwa hawa kuama chama/vyama baada ya kumwagwa upande mmoja, kwanini wasihame mapema? Mpaka wamwagwe? Ama hakika hawa ni wasaka tonge.
 
yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu.
mwenyekiti wenu alisema tayari mnazo Kura 6000 kutoka kwa wanachama wenu sasa akawataka mtafute zingine toka kwetu tusio na vyama.sasa sijui na amepewa jukumu la kusutract ili atupe mrejesho kwa now how much do have?
 
Umeishamtosa mtu wako uliyekuwa unampigia kampeni sikuzote humu?kweli Chadema pesa mbele kuliko misingi.

MASONJO Chadema sio wajinga ,wamefanya utafiti wa hali ya juu kuhusu ili.Mwanyamaki sio Mnyakyusa kwa watu wa Kyela hawezi kupata kura kule vijijini sana sana atapata Kyela mjini ,Ipinda Mjini na Kule Ikombe.Mwakyembe tayari walianza kueneza Ukabila sasa watapigwa shoko.Hiyo number kura kwenye kura za maoni ni feki.wanachama wa ccm Kyela hawafiki ata elfu 10 sasa walipiga eti watu elfu 30 waliwatoa wapi?Nilikuwepo kura za maoni kyela.kulikuwa hakuna watu kabisa kwenye vituo,je hao elfu 30 walipigia wapi hizo kura.
 
Kutoka Mbeya, George Mwakalinga aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mwakyembe la Kyela mkoani Mbeya, amehamia CHADEMA Muda sio mrefu.

ukiona anahama jua amekatwa maana wote wanaokatwa anajondoa wakizani ndo ccm inakufa pole sana,
 
MASONJO Chadema sio wajinga ,wamefanya utafiti wa hali ya juu kuhusu ili.Mwanyamaki sio Mnyakyusa kwa watu wa Kyela hawezi kupata kura kule vijijini sana sana atapata Kyela mjini ,Ipinda Mjini na Kule Ikombe.Mwakyembe tayari walianza kueneza Ukabila sasa watapigwa shoko.Hiyo number kura kwenye kura za maoni ni feki.wanachama wa ccm Kyela hawafiki ata elfu 10 sasa walipiga eti watu elfu 30 waliwatoa wapi?Nilikuwepo kura za maoni kyela.kulikuwa hakuna watu kabisa kwenye vituo,je hao elfu 30 walipigia wapi hizo kura.

wanaokatwa waende tu maana hatuwezi kumuacha waziri mkuu wetu mwakyembe eti mwakanini?
acha afate wakatwaji wenzie wala hakunashaka lolote,ameupima upepo na kuona nafasi yake ni ndogo sana
 
mwenyekiti wenu alisema tayari mnazo Kura 6000 kutoka kwa wanachama wenu sasa akawataka mtafute zingine toka kwetu tusio na vyama.sasa sijui na amepewa jukumu la kusutract ili atupe mrejesho kwa now how much do have?

ccm haiangaiki na wakatwaji hacha wafuatane huko kwa wapokea makapi,
 
je cdm watampa ubunge alioukosa ccm au ndo kuangaika tu,
 
CCM ina wenyewe na bila shaka hao wenyewe nawe u mmoja wao...

jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia
 
Back
Top Bottom