Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,109
aliyekudanganya kwamba mwakalinga kaja kugombea ubunge ni nani ? halafu zaidi ya robo 3 ya kura alizopata mwakyembe ni magumashi matupu ! kadi mpya zimegawiwa kwa kila mtu , NJEMUKE , ABULISYA UBWALWA NA WENGINE CHUNGU MBOVU , wakati ukifika tutaweka kila kitu wazi , bila faulo mwakyembe asingeshinda maoni , muulize kiongozi wako hunter mwakifuna , anajua kila kitu .Umeishamtosa mtu wako uliyekuwa unampigia kampeni sikuzote humu?kweli Chadema pesa mbele kuliko misingi.