Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia

Msije tu mkasema kura zimeibwa.maana mkishaanguka ndio majibu yenu hayo.
 
Hao wanaohama hawajuwi kuwa wananchi wanawashangaa kuwa wamewakataa wakiwa ccm je watawakubali wakiwa chadema? Ha ha ha mnazidi kujionesha rangi yenu halisi.wananchi hawageuzwi kama chapati
 
Lazima mjiulize hao wanaohama ni kwa maslahi ya wananchi au ya kibinafsi? Kumbuka wote waliohama wakiongozwa na EL wanatoa sababu za kuwa hawakutendewa haki katika kupata madaraka, hakuna aliyesema kahama ili kusaidia wananchi.

Lazima ushike madaraka ili uweze kuwatumikia wananchi vinginevyo haina tofauti na baba yako yupo nyumbani tu anawasaidiaje wananchi hivyo lazima utafute madaraka ili nawe ule na kusaidia wengine angalia mfano nzuri viongozi Wa dini sadaka za nn? Tumia akiri yako kufikiri usiwekewe maneno mdomoni
 
Ndo yale yale Nape aliyosema kuwa wapinzani wanapokea oili chafu
 
chadema limekua chaka!! Chaka halibagui mnyama!
 
Kutoka Mbeya, George Mwakalinga aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Mwakyembe la Kyela mkoani Mbeya, amehamia CHADEMA Muda sio mrefu.

Anakaribishwa sana aje na wafuasi wake watusaidie kuiondoa ccm hapo kyela
 
People power is taking place now on... People's now they understand the meaning of people's power... We can change everything if you believe
....
 
Dan, huyu ndugu yangu wa damu alikuwa ni CCM hasa yaani wa damu na tayari kufia CCM.......

Nimepata habari kuwa tayari kashapewa ticket ya kugombea kwa kupitia UKAWA......

Kweli mwisho wa CCM ni mwaka huu.....

Kimkakati naona kuna baadhi ya majimbo ukawa watapita bila kupingwa
 
Back
Top Bottom