mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
kuna siku huyu mzee nilikaa naye dah nikawaza kwa nn yupo ccm ilihali ni mwanamabadiliko ndio haya yanayotokea sasa....kahama UKAWA ni mpango wa Mungu ila nahic biashara zake watazifitini
Maccm ni manyang'au
kuna siku huyu mzee nilikaa naye dah nikawaza kwa nn yupo ccm ilihali ni mwanamabadiliko ndio haya yanayotokea sasa....kahama UKAWA ni mpango wa Mungu ila nahic biashara zake watazifitini
mapambano ya kweli yapi ya mwembeyanga nini?
wewe jamaa utakuwa mbowe coz kila thread unakomaa kujibu hadi mwisho wa uzi
Ndio maana nakwambia japo upo ground Chadema Kyela wenzako wanadeal na makao makuu Dar es Salaam, jina la mgombea ubunge wa Chadema Kyela litakalotolewa na Kamati Kuu ya Chadema ni la George Mwakalinga, mwenzetu kaishaongea vizuri na wenye chama,sikuhizi ugombea Chadema unauzwa tu, mwenye pesa nyingi anapewa tu.
Kama ukawa walivyotumia nafasi ya kumsimamisha El
Acha uongo wewe idadi ya wana ccm kyela ni zaidi ya elfu 30 ukijidangaya kuwa ccm inawanachama elfu 10 umepotea mazima
Ccm kyela imeshafutika na mwakyembe ubunge ndio basi tena
Huyo ni kapi alishindwa na mwakyembe kwenye kura ya maoni kwa tofauti kubwa Mwakyembe alipata kura 15516 na huyo ----- alipata kura 4905 kaona akimbilie chadema akasake huruma ya mbowe
kura za maoni za cdm kyela zilikwishafanyika na mh mwanyamaki ( mbunge mteule ) alishinda kwa kishindo , hazitarudiwa na tumemaliza kazi , sasa mwakalinga anaingiaje kwenye ubunge ? huyu katoka ccm kutokana na fitna za mwakyembe kuhujumu kyela fm , mwakyembe alikwisha mhujumu hata kipija ili afukuzwe umeya , anafahamika vizuri sana , sasa unapokuwa mwongo uwe na kumbukumbu , mimi nimewekeza kwenye siasa za kyela wanajf ni mashahidi , sikurupuki .