Google pixel 5a 5g

Google pixel 5a 5g

Kwa picha Pixel anatisha, sikatai. Vipi kuhusu video quality
Tatizo Google Pixels zimebase kwenye kamera na software lakini ukija huku kwingine kote anafunikwa na Xiaomi. Tena kwenye kamera ni tie, hakuna mshindi.
Halafu habari za kutumika China hapa hazihusiki, hata Bongo unatumia fresh tu ingawa ni Chinese version, global inaweza toka mwaka huu labda, sijui maana AliExpress nimeziona global version. Mimi ninachotaka ni battle tu Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro, ipi ni simu kali all rounder
Hakuna kama iphone kwenye video quality mzee.

Kujaza maspecs makubwa haimaanishi simu yako itatoa end results nzuri.

Kuna masimu yana specs za kufa mtu kwenye camera ila end results zinatsikitisha.
 
Halafu mkuu Bavaria unaita Xiaomi takataka wakati Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Samsung Galaxy S22 Ultra na hiyo Google Pixel 7 Pro. Nadhani umekariri bob
Mimi nainachotaka sio ubishi, nataka wewe uende google uzishindanishe Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro. Usilete hiyo list kwa sababu haipo fair. Compare products mbili wewe mwenyewe au kupitia review za watu (COMPARISON sio LIST)
Hizo list zimekaa kishabiki, halafu suala la kusema simu ni tatu tu iPhone, Samsung na Google Pixel hiyo ilikuwaga zamani si sasa tena kwa hiyo usikariri, tunatakiwa kujiupdate kila mara competition katika technology inavyochange.
  • Xiaomi 13 Pro inarekodi 8K videos kwenye kamera, Google Pixel 7 Pro inarekodi mwisho 4K tu, kwenye video quality mshindi ni Xiaomi, picture quality mshindi ni Google Pixel
  • Kwenye perfomance hakuna ubishi, chipset ya Google Tensor G2 ya kwenye Pixel 7 Pro ni weaker kuliko Qualcomm Snapdragon 8 Gen 2 ya Xiaomi 13 Pro, tena tofauti kubwa ndo ipo hapa. Hata AnTuTu score za Xiaomi 13 Pro ni kubwa na zinazidi 1,200,000 points wakati Google Pixel 7 Pro points zake zinarange around 800,000, kinachoiangusha Pixel ni hiyo chipset
  • Kwenye display, comparison zinaonesha display ya Xiaomi 13 Pro ni ya higher quality kuliko ya Google Pixel 7 Pro
Sasa mkuu ww kwa nini unaforce tutumie hiyo list wakati unajua kila website inajitengenezea list kulingana na mapenzi yake? Na unajua globally, Xiaomi haijawa popular kutokana na poor marketing hivyo kwenye baadhi ya list hawapendi kuziconsider kutokana na kwamba availability yake sio kubwa kama hizo brand nyingine.
Pia kwenye list iliyoletwa unapaswa ushangae tangu lini oppo imeishinda Xiaomi[emoji38][emoji38]
Nimekuona kwenye comment ukisifia 13 Pro kwa kudhani kuwa ni iPhone bila kujua kuwa ni Xiaomi[emoji23][emoji23] Hii inaonesha kuwa Xiaomi ni simu nzuri na umezikubali, ila huwezi sema mbele ya watu kutokana na hali ilipofikia kwenye hii thread kwa sasa[emoji28][emoji28] ila walau moyoni dawa imeingia.
Halafu nina swali la mwisho moja tu "HIVI MKUU KWA NINI UNAOGOPA KUJIKITA KWENYE COMPARISON YA HIZI SIMU MBILI BADALA YAKE UNATAKA TUONGELEE LIST YAKO? KAMA KWELI UNAJIAMINI KABISA KWAMBA HIZO NDIO SIMU BORA DUNIANI KWA SASA MBONA SASA UNAOGOPA HIYO BATTLE?[emoji38][emoji38]
Hujaelewa bado.

Kuwa na specifications kubwa sio guarantee kwamba simu yako itakuwa the best.

Kuna simu zina the highest specifications na zinatoa boko kwenye camera.

Nilikwambia toka mwanzo, sahivi mwenye the best softwares in image processing ndo ataonekana ana camera nzuri.

Apple na Google Pixel hapo ndo wanapowapigia makampuni mengine kwenye hiyo department.

Kuwa na chip yenye jina kubwa kwenye simu yako ni useless kama haijawa optimized na all components na mostly na software yako.

Apple anatengeneza chip zake na anatumia ios ambayo ni yake, iphone by far zinaonekana well optimized kwenye kila department. Google amekuja na chip yake baada ya kuona magic apple anayoipata. Tensor chip ipo optimized na camera, android software tena stock.

Sasa hao kina Xiaomi wanaokota chip toka snapdragon, software toka android, camera toka leica unategemea awashinde wanaooptimize simu zao from ground up?

Mfano mzuri ni blind smartphone camera test inafanyw ana mkbhd, kwa miaka mitatu kama sio minne google amebeba. Tena camera zake hazina specifications kubwa kama za hao anaoshindana nao. Unadhani ni kwanini? Image processing software.

Likn hizo hapo.

1. Android Central's Best of 2022 Awards

2. What's the best Android phone? We tested hundreds, here are our top 8

3. Top Phones for 2023

4.

6.

7.

8.

9. The best phone to buy right now

10. The Best Android Phones Of 2022

11. https://www.consumerreports.org/smartphones/best-smartphones-of-the-year-a7852223918/

Na ubora wa simu unapimwa na watumiaji kwasababu wao ndo wanakutana na changamoto kila siku. Pixel 6 ilivyotoka ilikuwa na matatizo chungu mzima ila on paper ilikuwa inaonesha ni simu bora.

Kuna mwaka Samsung alitoa masimu mabovu tena flagships, ila on paper specs za kufa mtu.

Kujaza specifications hakufanyi simu iwe bora au itoe end results bora.

Xiaomi ni midrange phone company, anajitutumua ila bado sana kufika levels za kina Samsung na Apple.
 
Xiaomi smartphones ni All rounder, hayo madude yote uliyoyataja Xiaomi yupo
Ila kuna shida hapo kwenye Google Pixel, hao jamaa wamebase kwenye software na camera ila sehemu nyingine waboronga[emoji38][emoji38]
Halafu Xiaomi wao wanauza simu zao kupitia online store yao wenyewe. Xiaomi kwa sasa zinaanza kuwa popular na zinaingia kwenye list za mauzo bora ya simu siku hizi
 
Hakuna kama iphone kwenye video quality mzee.

Kujaza maspecs makubwa haimaanishi simu yako itatoa end results nzuri.

Kuna masimu yana specs za kufa mtu kwenye camera ila end results zinatsikitisha.
Sijaongelea iPhone hapa
Ngoja nikukumbushe battle inahusu nini kwanza
Hapa ninashindanisha Xiaomi 13 Pro vs Google Pixel 7 Pro
Kwa kuwa umeshaikumbuka battle sasa ngoja nikurudishe kwenye statement yangu. Nimesema hivi, Xiaomi 13 Pro inarekodi video za high quality kuliko Google Pixel 7 Pro, sijaitaja iPhone
Safari hii nakuomba usijaribu kukimbia mada[emoji38][emoji38]
 
Hujaelewa bado.

Kuwa na specifications kubwa sio guarantee kwamba simu yako itakuwa the best.

Kuna simu zina the highest specifications na zinatoa boko kwenye camera.

Nilikwambia toka mwanzo, sahivi mwenye the best softwares in image processing ndo ataonekana ana camera nzuri.

Apple na Google Pixel hapo ndo wanapowapigia makampuni mengine kwenye hiyo department.

Kuwa na chip yenye jina kubwa kwenye simu yako ni useless kama haijawa optimized na all components na mostly na software yako.

Apple anatengeneza chip zake na anatumia ios ambayo ni yake, iphone by far zinaonekana well optimized kwenye kila department. Google amekuja na chip yake baada ya kuona magic apple anayoipata. Tensor chip ipo optimized na camera, android software tena stock.

Sasa hao kina Xiaomi wanaokota chip toka snapdragon, software toka android, camera toka leica unategemea awashinde wanaooptimize simu zao from ground up?

Mfano mzuri ni blind smartphone camera test inafanyw ana mkbhd, kwa miaka mitatu kama sio minne google amebeba. Tena camera zake hazina specifications kubwa kama za hao anaoshindana nao. Unadhani ni kwanini? Image processing software.

Likn hizo hapo.

1. Android Central's Best of 2022 Awards

2. What's the best Android phone? We tested hundreds, here are our top 8

3. Top Phones for 2023

4.

6.

7.

8.

9. The best phone to buy right now

10. The Best Android Phones Of 2022

11. https://www.consumerreports.org/smartphones/best-smartphones-of-the-year-a7852223918/

Na ubora wa simu unapimwa na watumiaji kwasababu wao ndo wanakutana na changamoto kila siku. Pixel 6 ilivyotoka ilikuwa na matatizo chungu mzima ila on paper ilikuwa inaonesha ni simu bora.

Kuna mwaka Samsung alitoa masimu mabovu tena flagships, ila on paper specs za kufa mtu.

Kujaza specifications hakufanyi simu iwe bora au itoe end results bora.

Xiaomi ni midrange phone company, anajitutumua ila bado sana kufika levels za kina Samsung na Apple.
Basi naomba unilistie mambo ambayo Google Pixel 7 Pro imeizidi Xiaomi na mimi nikutajie Xiaomi 13 Pro imeizidi nini Google Pixel 7 Pro
Bado naona unalazimisha zaidi list, wakati mimi nataka tulinganishe hizi simu mbili kwa facts.. Yaani mkuu unasababisha niiponde bure tu moja ya brands ninazozikubali
Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Google Pixel 7 Pro karibia kila kona. Tushindanishe hizi simu mbili sasa wewe unaniletea mimi mambo ya awards [emoji23][emoji23] yanahusianaje?
Xiaomi anatumia kamera ya LEICA, kioo cha Samsung, OS ya Google, chipset ya Qualcomm na software yake mwenyewe ila natoa simu kali kuliko huyo Pixel anayejitegemea[emoji23][emoji23]. Kwani shida iko wapi hapo, cha msingi atoe simu kali tu.
By now Google Pixel ni ushuzi mbele ya Xiaomi
Halafu umetiririka wee, mwishoni unasema Xiaomi hatoifikia Samsung na Apple halafu hujatoa sababu za msingi[emoji23][emoji23] au ndio technic ya kusaka support kutoka kwa wadau wa Samsung na iPhone[emoji38][emoji38]
Umeshindwa kuitetea Google Pixel kwa facts, sasahivi unatafuta support kwa wadau wa Samsung na Apple.
Hapa Google Pixel haipaswi kutembelea nyota za Samsung na Apple, battle ibaki palepale Xiaomi vs Google Pixel[emoji41][emoji41]
 
Hujaelewa bado.

Kuwa na specifications kubwa sio guarantee kwamba simu yako itakuwa the best.

Kuna simu zina the highest specifications na zinatoa boko kwenye camera.

Nilikwambia toka mwanzo, sahivi mwenye the best softwares in image processing ndo ataonekana ana camera nzuri.

Apple na Google Pixel hapo ndo wanapowapigia makampuni mengine kwenye hiyo department.

Kuwa na chip yenye jina kubwa kwenye simu yako ni useless kama haijawa optimized na all components na mostly na software yako.

Apple anatengeneza chip zake na anatumia ios ambayo ni yake, iphone by far zinaonekana well optimized kwenye kila department. Google amekuja na chip yake baada ya kuona magic apple anayoipata. Tensor chip ipo optimized na camera, android software tena stock.

Sasa hao kina Xiaomi wanaokota chip toka snapdragon, software toka android, camera toka leica unategemea awashinde wanaooptimize simu zao from ground up?

Mfano mzuri ni blind smartphone camera test inafanyw ana mkbhd, kwa miaka mitatu kama sio minne google amebeba. Tena camera zake hazina specifications kubwa kama za hao anaoshindana nao. Unadhani ni kwanini? Image processing software.

Likn hizo hapo.

1. Android Central's Best of 2022 Awards

2. What's the best Android phone? We tested hundreds, here are our top 8

3. Top Phones for 2023

4.

6.

7.

8.

9. The best phone to buy right now

10. The Best Android Phones Of 2022

11. https://www.consumerreports.org/smartphones/best-smartphones-of-the-year-a7852223918/

Na ubora wa simu unapimwa na watumiaji kwasababu wao ndo wanakutana na changamoto kila siku. Pixel 6 ilivyotoka ilikuwa na matatizo chungu mzima ila on paper ilikuwa inaonesha ni simu bora.

Kuna mwaka Samsung alitoa masimu mabovu tena flagships, ila on paper specs za kufa mtu.

Kujaza specifications hakufanyi simu iwe bora au itoe end results bora.

Xiaomi ni midrange phone company, anajitutumua ila bado sana kufika levels za kina Samsung na Apple.
Basi naomba unilistie mambo ambayo Google Pixel 7 Pro imeizidi Xiaomi na mimi nikutajie Xiaomi 13 Pro imeizidi nini Google Pixel 7 Pro
Bado naona unalazimisha zaidi list, wakati mimi nataka tulinganishe hizi simu mbili kwa facts.. Yaani mkuu unasababisha niiponde bure tu moja ya brands ninazozikubali
Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Google Pixel 7 Pro karibia kila kona. Tushindanishe hizi simu mbili sasa wewe unaniletea mimi mambo ya awards [emoji23][emoji23] yanahusianaje?
Xiaomi anatumia kamera ya LEICA, kioo cha Samsung, OS ya Google, chipset ya Qualcomm na software yake mwenyewe ila natoa simu kali kuliko huyo Pixel anayejitegemea[emoji23][emoji23]. Kwani shida iko wapi hapo, cha msingi atoe simu kali tu.
By now Google Pixel ni ushuzi mbele ya Xiaomi
Halafu umetiririka wee, mwishoni unasema Xiaomi hatoifikia Samsung na Apple halafu hujatoa sababu za msingi[emoji23][emoji23] au ndio technic ya kusaka support kutoka kwa wadau wa Samsung na iPhone[emoji38][emoji38]
Umeshindwa kuitetea Google Pixel kwa facts, sasahivi unatafuta support kwa wadau wa Samsung na Apple.
Hapa Google Pixel haipaswi kutembelea nyota za Samsung na Apple, battle ibaki palepale Xiaomi vs Google Pixel[emoji41][emoji41]
 
Basi naomba unilistie mambo ambayo Google Pixel 7 Pro imeizidi Xiaomi na mimi nikutajie Xiaomi 13 Pro imeizidi nini Google Pixel 7 Pro
Bado naona unalazimisha zaidi list, wakati mimi nataka tulinganishe hizi simu mbili kwa facts.. Yaani mkuu unasababisha niiponde bure tu moja ya brands ninazozikubali
Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Google Pixel 7 Pro karibia kila kona. Tushindanishe hizi simu mbili sasa wewe unaniletea mimi mambo ya awards [emoji23][emoji23] yanahusianaje?
Xiaomi anatumia kamera ya LEICA, kioo cha Samsung, OS ya Google, chipset ya Qualcomm na software yake mwenyewe ila natoa simu kali kuliko huyo Pixel anayejitegemea[emoji23][emoji23]. Kwani shida iko wapi hapo, cha msingi atoe simu kali tu.
By now Google Pixel ni ushuzi mbele ya Xiaomi
Halafu umetiririka wee, mwishoni unasema Xiaomi hatoifikia Samsung na Apple halafu hujatoa sababu za msingi[emoji23][emoji23] au ndio technic ya kusaka support kutoka kwa wadau wa Samsung na iPhone[emoji38][emoji38]
Umeshindwa kuitetea Google Pixel kwa facts, sasahivi unatafuta support kwa wadau wa Samsung na Apple.
Hapa Google Pixel haipaswi kutembelea nyota za Samsung na Apple, battle ibaki palepale Xiaomi vs Google Pixel[emoji41][emoji41]
Kwa akili yako unadhani kwakuwa simu imewekwa ram ya 16gb itakuwa the best kwenye user experience kuliko yenye 8gb?

Unajua hata maana ya software optimization?
 
Basi naomba unilistie mambo ambayo Google Pixel 7 Pro imeizidi Xiaomi na mimi nikutajie Xiaomi 13 Pro imeizidi nini Google Pixel 7 Pro
Bado naona unalazimisha zaidi list, wakati mimi nataka tulinganishe hizi simu mbili kwa facts.. Yaani mkuu unasababisha niiponde bure tu moja ya brands ninazozikubali
Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Google Pixel 7 Pro karibia kila kona. Tushindanishe hizi simu mbili sasa wewe unaniletea mimi mambo ya awards [emoji23][emoji23] yanahusianaje?
Xiaomi anatumia kamera ya LEICA, kioo cha Samsung, OS ya Google, chipset ya Qualcomm na software yake mwenyewe ila natoa simu kali kuliko huyo Pixel anayejitegemea[emoji23][emoji23]. Kwani shida iko wapi hapo, cha msingi atoe simu kali tu.
By now Google Pixel ni ushuzi mbele ya Xiaomi
Halafu umetiririka wee, mwishoni unasema Xiaomi hatoifikia Samsung na Apple halafu hujatoa sababu za msingi[emoji23][emoji23] au ndio technic ya kusaka support kutoka kwa wadau wa Samsung na iPhone[emoji38][emoji38]
Umeshindwa kuitetea Google Pixel kwa facts, sasahivi unatafuta support kwa wadau wa Samsung na Apple.
Hapa Google Pixel haipaswi kutembelea nyota za Samsung na Apple, battle ibaki palepale Xiaomi vs Google Pixel[emoji41][emoji41]
Kama unadhani kujaza specs ndo kunafanya simu iwe bora basi you are still a toddler in this area.

Link zote zimeonesha simu bora za mwaka 2022.

Google pixel ametoboa kote huko.

Hiyo Xiaomi yako mbona haijaonekana hata sehemu moja??

Android Authority wametoa simu bora za 2022 Xiaomi hayupo.

Android Central wametoa simu bora za 2022 Xiaomi hayupo.

Hiyo Xiaomi yako ipo wapi.?
 
Basi naomba unilistie mambo ambayo Google Pixel 7 Pro imeizidi Xiaomi na mimi nikutajie Xiaomi 13 Pro imeizidi nini Google Pixel 7 Pro
Bado naona unalazimisha zaidi list, wakati mimi nataka tulinganishe hizi simu mbili kwa facts.. Yaani mkuu unasababisha niiponde bure tu moja ya brands ninazozikubali
Xiaomi 13 Pro ni kali kuliko Google Pixel 7 Pro karibia kila kona. Tushindanishe hizi simu mbili sasa wewe unaniletea mimi mambo ya awards [emoji23][emoji23] yanahusianaje?
Xiaomi anatumia kamera ya LEICA, kioo cha Samsung, OS ya Google, chipset ya Qualcomm na software yake mwenyewe ila natoa simu kali kuliko huyo Pixel anayejitegemea[emoji23][emoji23]. Kwani shida iko wapi hapo, cha msingi atoe simu kali tu.
By now Google Pixel ni ushuzi mbele ya Xiaomi
Halafu umetiririka wee, mwishoni unasema Xiaomi hatoifikia Samsung na Apple halafu hujatoa sababu za msingi[emoji23][emoji23] au ndio technic ya kusaka support kutoka kwa wadau wa Samsung na iPhone[emoji38][emoji38]
Umeshindwa kuitetea Google Pixel kwa facts, sasahivi unatafuta support kwa wadau wa Samsung na Apple.
Hapa Google Pixel haipaswi kutembelea nyota za Samsung na Apple, battle ibaki palepale Xiaomi vs Google Pixel[emoji41][emoji41]
DXO Mark Rankings hizo.

Huyo Xiaomi wako hajakatiza popote pale.

Google pixel ametokea kwenye category kadhaa.View attachment 2472382View attachment 2472383View attachment 2472384View attachment 2472385
20230107_222027.jpg
 
DXO Mark Rankings hizo.

Huyo Xiaomi wako hajakatiza popote pale.

Google pixel ametokea kwenye category kadhaa.View attachment 2472382View attachment 2472383View attachment 2472384View attachment 2472385View attachment 2472386
Kumbe hadi leo unafuatilia DXO Mark Rankings[emoji23][emoji23], hao jamaa wana upendeleo na hivyo hutengeneza list ambazo hazina mantiki
Anyway, nimeshakuambia Xiaomi 13 Pro ni Chinese ROM nashangaa wewe unaisaka kwenye global lists[emoji38][emoji38] huwezi kukuta Chinese ROM smartphones hapo
Kwa hiyo solution ni moja tu, tuzichambue simu hizi mbili kona moja baada ya nyingine, utakuja kuniambia, Pixel ni ushuzi
Ukiwa tayari kwa battle niambie tuanze
 
Kama unadhani kujaza specs ndo kunafanya simu iwe bora basi you are still a toddler in this area.

Link zote zimeonesha simu bora za mwaka 2022.

Google pixel ametoboa kote huko.

Hiyo Xiaomi yako mbona haijaonekana hata sehemu moja??

Android Authority wametoa simu bora za 2022 Xiaomi hayupo.

Android Central wametoa simu bora za 2022 Xiaomi hayupo.

Hiyo Xiaomi yako ipo wapi.?
Wewe kwa uelewa wako wa simu hadi sasa, ukiangalia hizo list za Android Authority na Android Central unaona zinamake sense[emoji38][emoji38] Yaani hata mkulima kutoka Bukoba ukimuonesha hii list atashangaa
Halafu mimi sijasema eti kwa kuwa specs ni kubwa basi simu itakuwa bora. Labda nikuandikie kwa herufi kubwa pengine utaelewa. Nimesema hivi, "XIAOMI 13 PRO INAREKODI VIDEO ZA HIGH QUALITY KULIKO GOOGLE PIXEL 7 PRO" mbona unapenda kutoka nje ya mada wewe?
Hiyo Xiaomi 13 Pro ipo officially in China kwa sasa, huku nje ya China watu huagiza kwa kuwa wanataka vitu bora. Kwa hiyo usitegemee kuikuta Xiaomi 13 Pro hapo kwenye list zako mpaka Global version itoke. Hiyo Google Pixel 7 Pro inapitwa hata na Xiaomi 12S Ultra kiuwezo ambalo ni toleo la nyuma kabla ya Xiaomi 13 Pro. Mimi napenda hiyo part unayoiogopa wewe, yaani BATTLE[emoji41][emoji41]
Njoo tuzichambue hizo simu kona mojamoja tuone nani mnyama, mbona hutaki?[emoji23][emoji23]
Ukiwa tayari kwa battle utaniambia
 
Back
Top Bottom