Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,455
- 15,169
Yeah.. ni kweliSina maana sio simu kwa sababu kwanza ya mtazamo cha kwanza iphone users hawaangalii mambo mengi wao ni brand tu ndo maana hata mtu anaweza kufake iphone 12 akaweka cover ili iwe kama iphone 14..
Nina maana gani wewe unajua vitu kibao ila most of iphone users hawajui wao ni brand tu ,tuangalia kweny picha za iphone zile zinakuwa kama zipo edited .
Kiufupi mi iphone siwezi kutumia mpaka sasa hawajanishawishi kwanza simu ni nzito Kama redio ,design fulani kama yaani imekaa kama chuma ..Ni sawa na kutumia Snapchat , TikTok yaani nimeshindwa kabisa
Ni kwamba watumiaji wa iphone wao hawajui baadhi ya sifa wao wanajua kwambaa xiam, sijui oppo, realme, Huawei ,google pixel ni uchafu tu[emoji23][emoji23] labda Samsung kwa sababu brand ni kubwa..
iPhone users wengi wana matumizi madogo tu ya simu ila pesa huwa zinawawasha ndio maana huamua kununua iPhone. Utakuta mtu matumizi yake ni kujirekodi na kutuma video Snapchat na Tiktok, kuingia online, kupiga, kupokea na kucheza vigemu vya kitoto kama vya kukimbia au vile vya kukatakata machungwa na mananasi[emoji23][emoji23], halafu ananunua iPhone ya milioni mbili ilimradi tu afanye Show-off wakati huyo hata midrange za Xiaomi, Oppo au Samsung A-Series zinamfaa tena kwa bei chee na chenji inabaki. Lakini wanakimbilia iPhone kwa ajili ya Show off
Ukiwaeleza kuwa kuna simu nyingine kali kama iPhone au kuliko hata iPhone watabisha hatari na utaambulia maneno ya kejeli tu[emoji23][emoji23]
Ila kuna wengine wanafuatilia simu na wananunua iPhone kutokana na matumizi yao na kujikuta iPhone ndio zinawafaa zaidi.