Test ladha zote tu sio mbaya, mi nimezinguka karibu kote saiz nina oppo ila next nitachukua pixel kabla sijarud tena Samsung...Labda nipige chini hii Note 10 plus nipande juu yake iwe samsung lakin sio kumiliki Google pixel
Now Nina miliki Samsung note 10 plus and A52 nlianza na A52 ndo nkaongeza Note 10 Plus samsung Nina mahaba nao aisee upande wa simu
Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpyaNimetumia note5,s6edge,edge+s7edge,s8,s9+ a30s,a32,a50,a71, s10+ 5g sa sijui utaniambia Nini kuhusu Samsung hapo na hapo nimekutajia za juu juu zingine sijaweka kwanza m situmii simu miez 2 sijui mitatu.nanunua simu mwez huu nikiichoka nauza naongezea ela nauza nilionayo navuta nyingine So kwenye Samsung Bora utafute hata Infinix ndo sijawai tumia note 10 plus Jana tu nilikuwa nayo tu ya jamaa yangu naifanyia majaribio Yani kwenye camera imepitwa adi na pixel 4xl hii apa hiView attachment 2400782
[emoji3][emoji3][emoji3]Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpya
hizo note,perfomance yake ninyokoLabda nipige chini hii Note 10 plus nipande juu yake iwe samsung lakin sio kumiliki Google pixel
Now Nina miliki Samsung note 10 plus and A52 nlianza na A52 ndo nkaongeza Note 10 Plus samsung Nina mahaba nao aisee upande wa simu
[emoji3][emoji3]Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpya
yes inaipita iphone ila simu ya kwanza ni s22 samsung camera yake ni nomaaaaKwa mujibu wa Dxomark,Pixel 7 pro ndo Simu yenye camera Kali Kwa sasa. Ipo namba moja imeipiku hadi iPhone 14 pro.
iphone hatari mzee kama 14 aisee....Nakumbuka zaman nilikuwa na mawazo kama ya mleta mada, ila baada ya kupata hela na kununua iphone Xr kipind kile ndio nikajua kumbe umaskin unaleta chuki..
kama simu unayotumia haina hizi processor, wewe bado kidogo ongeza nguvu ya pesa upate simu nzuri...google pixel bado sana kwa iphoneAsee, tumsaidie na kijana mwezetu apate 1.5M anunue hata 11 Pro ajionee tofaut ya Simu na calculator yake ya google pixel
Basi hujui simu google pixel ni hatar sema iphone ni brand kubwa mpaka ije kuwa na mauzo kama iphone ni miaka kadhaa mbele ,kwa performance google pixel ni namba moja kila kona sema hardware ndo wanazingua ila software ni hatari [emoji91][emoji91][emoji91]
Jaribu mzee utakuja kubadili statement yako
nimeanza kupata wasi wasi na hiyo simu ya google imeishindwa note 10 itaiweza simu yenye bionic 16 ? tuwe wakweli jamani....Hivi huvuti bangi kweli ni kipi hapo kilicho mzidi note 10 plus sana sana naona note 10 plus ndio iko juu kwa kila kitu hapo
😂Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpya
umeshindwa battle Nini mkuu Kwahiyo mikono ilio shika simu na miguu ya huyo jamaa unaona vinaendana sio[emoji2][emoji3]Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpya
3xl ni bei ganSeller gan hapa tz anazo mpya kuanzia 3a
,3xl na 3a XL na 4a
Kwenye vioo nakubaliana na ww kaka, Lakini performance ya note series kuilinganisha na hzo Google pixel n kuivunjia heshima samsung aisee tusivutie kwa sababu n simu naitumia but samsung n habar nyingine aisee tusiilinganishe na Google pixelTest ladha zote tu sio mbaya, mi nimezinguka karibu kote saiz nina oppo ila next nitachukua pixel kabla sijarud tena Samsung...
Sema Samsung vioo vyake pasua kichwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah we jamaa nmecheka kinoma[emoji1787][emoji1787]Hiyo miguu yenye kanda mbili ndio wewe ambae kila mwezi unabadili simu mpya
kwanini wewe unatumia simu gani? na nini kikubwa unakiona kwenye iphone kilichowazidi wengine? unajua wengi mnasikia tu iphone ila hamjui hata ni nini?Sababu kuu ya huu uzi kufikisha post zaidi ya 250+ ni kukosekana kwa wataalam wa hizi mambo. Hii tabia ya kusifiasifikia kitu kwa kuwa tu umenunua bila kunua ubora ni mbaya sana.
Ndugu zangu Chief-Mkwawa na reyzzap kuna watu wanatamba hapa jukwaani na mnawaacha wanalisha watu matango pori, eti wanafananisha iphone na smartphone za kawaida.
Iphone users bana [emoji2][emoji3]Sababu kuu ya huu uzi kufikisha post zaidi ya 250+ ni kukosekana kwa wataalam wa hizi mambo. Hii tabia ya kusifiasifikia kitu kwa kuwa tu umenunua bila kunua ubora ni mbaya sana.
Ndugu zangu Chief-Mkwawa na reyzzap kuna watu wanatamba hapa jukwaani na mnawaacha wanalisha watu matango pori, eti wanafananisha iphone na smartphone za kawaida.