mzeemkavu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 552
- 474
Mwisho wa siku wee tumia hizo mi ntatumia pixel nishatumia iphone 11 nimeshika na 21 ultra kidogo lakini kwangu bado pixel ni simu nzuri, naitumia vilivyo kutangaza product zangu kwa picha kali, superb video making and editing (kama movie), Battery life makes my life easier, refresh rate, storage etc in short nahisi naitumia sana pixel kuliko iphone, so this makes pixel perfect to me
Hapo sasa umenena kila mtu atumie achaona kinafaa kwenye mikono yake hapo kwenye video hakuna mbabe kumzidi iphone nakukumbusha tu kipindi cha corona mtv waliandaa show ya lockdown wasanii wote wali record video nakuwatumia alafu mtv mama wazirushe ndugu kama uliona ile video ya diamond na burnboy zilivyo kuwa na best quality kinoma noma basi zilirecord na iphone 12 pro max ipo hivyo pixel nimbabe wa shoot samsung ni zoom iphone ni video na shoot zakupendezesha subject bila kuedit ndomaana masister duu/ ma brother duu, wauza nguo,simu nk wanazipenda nikupiga na kupost bila kuedit, pia ni brand pixel 5 imetoka sawa na iphone 12 pro ila leo iphone bado ipo 220000 dukani hii bei unapata pixel 7 pro na saa ya pixel bure kama kifungashio kila mtu abaki aamini simu yake