daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,349
- 3,240
Simu ya mwaka 2021 ina finger print senser ya nyuma?
yes ni nzuri sana vimeboreshwaNaomba kujua mzee hivi hizo google pixel now kwa 5 kuendelea wameboresha display ya kioo ikawa nzuri kama samsung
mi natumia Android 13Mbona android ipo ndogo sana au unaweza update to latest?
Pixel uwezi mfananisha na brand yeyote labda KidogoEbwana hongera mkuu hawa pixel wameshindikana hasa kwenye picha zina pixel kubwa na quality yake ni hatari
Seller gan hapa tz anazo mpya kuanzia 3aFull box 750 k mpaka 800k
used 700k kitu kama hicho
kama una budget ndogo unaweza kuchukua pixel 4 xl used ni 500k mpya 650 k hii nayo ni hatari tabu iko pale pale
3a ukichukua bei gan nduguIzi simu nishakuwa addicted nazo nazipenda japo nipo 3a ila nafanya mpango ya kuchukua 6 pro mwaka ukigeuka itakuwa ishapungua makali kweny bei....kuanzia display yaani kioo kipo poa nimetumia hii mwaka sasa ukinipa simu nyingine hta iphone kweny kioo naona nyeupe sana kama inaumiza macho yaani nishazoea afadhali samsungu izi simu ni balaa mno
Huo mchezo wa ram na camera wanaupenda sana xiaomiNimekuelewa sana simu nyingi wanajaza ma RAM na Camera nzuri ila zina efficiency ndogo lakini si kwa google pixel, vitu vikubwa nimependa kwenye pixel over iphone
1. Camera quality (sio night sio day)
2. Battery performance
3. Fast Processing
4. Rangi ya display (friendly kwa macho)
5. Flexibility
Hivi zile used za china plaza sio za damu kweli?maana hivi karibuni panya road wamepoea sana simu,usije kupata msala usio wakokkoo zipo nenda china plaza kama unapenda used
watafute googlepixeltz wanapatikana china plaza watakupa full box wana used pia.Seller gan hapa tz anazo mpya kuanzia 3a
,3xl na 3a XL na 4a
Mkuu hizo utatakutana na refurbish tuSeller gan hapa tz anazo mpya kuanzia 3a
,3xl na 3a XL na 4a
hatari tupuNa sasa wametoa 7 pro
Kwani pixel na iphone yupi ana negapixel nyingi?Hzo simu naziuza boss , primary situmii cause kila nayoshika naipiga bei , brand zingine ni kujaza megapixel kwenye Camera na Ram nyingi , Ila efficiency still ni changamoto , iPhone simu zao ni quality Sana ,mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni
Duh aisee..Simu ya mwaka 2021 ina finger print senser ya nyuma?
Usisahau OS.Nimekuelewa sana simu nyingi wanajaza ma RAM na Camera nzuri ila zina efficiency ndogo lakini si kwa google pixel, vitu vikubwa nimependa kwenye pixel over iphone
1. Camera quality (sio night sio day)
2. Battery performance
3. Fast Processing
4. Rangi ya display (friendly kwa macho)
5. Flexibility
Vita ya iPhone na Androids uwa haiishi.. 🤣🤣Hzo simu naziuza boss , primary situmii cause kila nayoshika naipiga bei , brand zingine ni kujaza megapixel kwenye Camera na Ram nyingi , Ila efficiency still ni changamoto , iPhone simu zao ni quality Sana ,mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni
5 na 6 bei gan refurb?Mkuu hizo utatakutana na refurbish tu
330k Ina mwaka sasa3a ukichukua bei gan ndugu