Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
hivi hapa duniani kweli hakuna vifo vya kizembe?
ni kweli kuwa vifo vyote ni mipango ya Mungu tu?
hicho kifo siyo mipango ya mungu ni mipango yake na mwenye mke wakishirikiana na shetani
hivi hapa duniani kweli hakuna vifo vya kizembe?
ni kweli kuwa vifo vyote ni mipango ya Mungu tu?
hicho kifo siyo mipango ya mungu ni mipango yake na mwenye mke wakishirikiana na shetani
Nasikitika nimepata taarifa za kunishtua cha kifo cha rafiki yangu tulikuwa sote kitambo udsm, amefariki baada ya kuwekea sumu kwenye beer, mshikaji alishaoa ila inasemekana alikuwa anatoka na mke wa mtu na mwenye mke alishamuonya,tafadhalini mabibi na mabwana heshimuni mahusiano yenu, Nimesikitika sana,mkewe ni mtu mzuri sana hata siwezi kuongea nae at the moment, nilikuwa kazin nimeamua kurudi nyumbani kichwa hakifanyi kazi.
Da nke wa ntu ni sumu!!
ukitaka uishi vizuri hapa duniani ogopa ivi vitu 2
1. mke wa mtu
2. dhulma
Alikuwa akifanya kazi bulyanhulu gold mine.
hiyo ndio balaa......hata sisi tunapata shida sana kujua kama mmeoa......Dah...pole sana sokwe......mapenzi yameshakuwa shubiri sasa haya..........
Hapana haitakuwa busara kutaja jina lake hapa, ila alikuwa mhandisi kwenye mgodi shinyanga, nilizungumza nae Kama siku 5 zilizopita tumeongea mengi kuhusu maisha na kuonyesha ni mwenye furaha na ndoa yake na career yake, nikamuahidi kwenda kuwatembelea nikianza likizo, inauma sana, Asante preta! Mzima lakini?