Goodbye my friend

Goodbye my friend

Dah bastola,sumu kabaang! Tutawajuaje kama ni wake za watu sasa?

hiyo ndio balaa......hata sisi tunapata shida sana kujua kama mmeoa......Dah...pole sana sokwe......mapenzi yameshakuwa shubiri sasa haya..........
 
Last edited by a moderator:
ukitaka uishi vizuri hapa duniani ogopa ivi vitu 2
1. mke wa mtu
2. dhulma
 
Pole Sana msiba unauma.Ila endeleeni kupeleleza isijekua akikua na ishu nyingine tofauti na hiyo.
 
Ila kuna mijitu ina roho ngumu, kama na wao hawatokufa vile
 
Nasikitika nimepata taarifa za kunishtua cha kifo cha rafiki yangu tulikuwa sote kitambo udsm, amefariki baada ya kuwekea sumu kwenye beer, mshikaji alishaoa ila inasemekana alikuwa anatoka na mke wa mtu na mwenye mke alishamuonya,tafadhalini mabibi na mabwana heshimuni mahusiano yenu, Nimesikitika sana,mkewe ni mtu mzuri sana hata siwezi kuongea nae at the moment, nilikuwa kazin nimeamua kurudi nyumbani kichwa hakifanyi kazi.

pole sana kaka,mungu akupe faraja,kwa machungu unayopata!
 
Huwezi kututajia isije kuwa ni rafiki yetu na sie ila habari hatujapata.
 
Hapana haitakuwa busara kutaja jina lake hapa, ila alikuwa mhandisi kwenye mgodi shinyanga, nilizungumza nae Kama siku 5 zilizopita tumeongea mengi kuhusu maisha na kuonyesha ni mwenye furaha na ndoa yake na career yake, nikamuahidi kwenda kuwatembelea nikianza likizo, inauma sana, Asante preta! Mzima lakini?
 
pole kwa kuondokewa na rafiki mkuu,.

''liwe somo kwetu sote'
 
Hapana haitakuwa busara kutaja jina lake hapa, ila alikuwa mhandisi kwenye mgodi shinyanga, nilizungumza nae Kama siku 5 zilizopita tumeongea mengi kuhusu maisha na kuonyesha ni mwenye furaha na ndoa yake na career yake, nikamuahidi kwenda kuwatembelea nikianza likizo, inauma sana, Asante preta! Mzima lakini?
Apumnzike kwa amani,mgodi upi?isije kuwa namfahamu
 
hivi hapa duniani kweli hakuna vifo vya kizembe?
ni kweli kuwa vifo vyote ni mipango ya Mungu tu?
 
Alikuwa akifanya kazi bulyanhulu gold mine.
 
Duh!

Pole sana nani,

Sent from BlackBerry 9520
 
pole sana kamanda. Mungu akupe subira ktk hiki kigumu cha kufiwa na rafiki yako. kila roho itaonja mauti. bwana ametoa, bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe. amin.

Hapo ni Bwana ametoa Mwenye mke ametwaa , sio kila kitu mumsingizie MUNGU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom