njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Baaada ya Yanga kuichakaza team ngumu ya Sudan Kusini kwa bao 9-0 (yes ni ngumu ni mabingwa na siyo dhaifu kama unabisha na wewe ni dhaifu maana mayelle alikupiga bao 2) hali hapo jijini Khartoum siyo nzuri kwa vigogo wa team.
Jana baada ya ushindi wa magumashi dhidi ya team dhaifu ya waimba kwaya wa Ethiopia waliowahi kualikwa Simba Day kulikuwa na kikao kizito kuijadili Yanga SC.
Imeonekana kwamba Yanga imekamilika kila idara na reality ni kwamba Al Hilal atapigwa goals 4 Dar es Salaam na goals 3 pale Sudan hivyo Yanga itasonga mbele kwa goals 7-0 kitu ambacho ma boss wa Al Hilal wamesema siyo mbaya sana ukizingatia ubora wa Yanga na ukubwa wa team hiyo.
Kocha Ibenge alijaribu kuulizwa uzoefu wake kuhusu Tanzania na wachezaji wa ki Congo alisema hakuna wa kumzuia Mayele ni lazima awafunge siyo chini ya goals 3 na ma boss walikubaliana naye.
Ila akasema "KINA FULANI" walishampa uzoefu kuhusu mbinu chafu pale uwanja wa taifa kama kupulizia sumu, kuloga ambazo aliambiwa nao kipindi akiwa AS Vita sema hana uhakika sana sababu Yanga ni team inayoendeshwa ki profesheno sana haitumiii mambo hayo ya ajabu labda Simba.
Kwa hiyo akawaambia kutakuwa hakuna haja ya kuweka mtu nje ya chumba cha kubadilishia nguo kwa kuwa yanga hawana mambo hayo ya kijingajinga.
Ila akawaambia amekuwa na bahati ya kupokewa airport na mamia ya mashabiki wake alipkuwa anakuja kucheza na simba na kushangiliwa uwanjani hivyo ana uhakika watajitokeza kwa wingi airport na uwanjani kumshangilia.
Uongozi ulifurahishwa sana na hilo lakini unachosubiri ni miujiza kwani Al hilal kuitoa yanga itakuwa story kubwa sana afrika yaani ni sawa na Daudi kumpiga Goliath, Yanga ni GIANT likuubwa siyo ya kulinganisha na KI- AL HILAL ambacho mashabiki wake wamekata kabisa tamaa wanasema bora wangekutana na makolo ambayo ni team mbovumbovu inayoshinda kwa taabu mechi kama ya Tz prisons.
Jana baada ya ushindi wa magumashi dhidi ya team dhaifu ya waimba kwaya wa Ethiopia waliowahi kualikwa Simba Day kulikuwa na kikao kizito kuijadili Yanga SC.
Imeonekana kwamba Yanga imekamilika kila idara na reality ni kwamba Al Hilal atapigwa goals 4 Dar es Salaam na goals 3 pale Sudan hivyo Yanga itasonga mbele kwa goals 7-0 kitu ambacho ma boss wa Al Hilal wamesema siyo mbaya sana ukizingatia ubora wa Yanga na ukubwa wa team hiyo.
Kocha Ibenge alijaribu kuulizwa uzoefu wake kuhusu Tanzania na wachezaji wa ki Congo alisema hakuna wa kumzuia Mayele ni lazima awafunge siyo chini ya goals 3 na ma boss walikubaliana naye.
Ila akasema "KINA FULANI" walishampa uzoefu kuhusu mbinu chafu pale uwanja wa taifa kama kupulizia sumu, kuloga ambazo aliambiwa nao kipindi akiwa AS Vita sema hana uhakika sana sababu Yanga ni team inayoendeshwa ki profesheno sana haitumiii mambo hayo ya ajabu labda Simba.
Kwa hiyo akawaambia kutakuwa hakuna haja ya kuweka mtu nje ya chumba cha kubadilishia nguo kwa kuwa yanga hawana mambo hayo ya kijingajinga.
Ila akawaambia amekuwa na bahati ya kupokewa airport na mamia ya mashabiki wake alipkuwa anakuja kucheza na simba na kushangiliwa uwanjani hivyo ana uhakika watajitokeza kwa wingi airport na uwanjani kumshangilia.
Uongozi ulifurahishwa sana na hilo lakini unachosubiri ni miujiza kwani Al hilal kuitoa yanga itakuwa story kubwa sana afrika yaani ni sawa na Daudi kumpiga Goliath, Yanga ni GIANT likuubwa siyo ya kulinganisha na KI- AL HILAL ambacho mashabiki wake wamekata kabisa tamaa wanasema bora wangekutana na makolo ambayo ni team mbovumbovu inayoshinda kwa taabu mechi kama ya Tz prisons.