uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,305
- 9,467
Ukiangalia ujumbe wa team ya Al Hilal ambao watatumia uwanja wa BWM kwa ajili ya mechi zake za CAFCL umebeba ujumbe mzito na umejaa weledi mkubwa mno.
Hata lugha iliyotumika kuomba support ya mashabiki ni lugha inayoleta ujasiri na upendo hakika hii mechi si ya kukosa.
Al Hilal vs Esperance siku ya ijumaa nadhani ni saa Moja usiku.
Hata lugha iliyotumika kuomba support ya mashabiki ni lugha inayoleta ujasiri na upendo hakika hii mechi si ya kukosa.
Al Hilal vs Esperance siku ya ijumaa nadhani ni saa Moja usiku.