GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

Status
Not open for further replies.

kaka mbona PD iko fresh tu kwa basi letu
Ila wanafanya Upgrade tu ya hiyo 3G yao lkn kitu hiko hewani mm hapa niko hewani na PD proxy bila shida
Na sio wote inawakumba hii shida
 

utaumbuka kwa maneno unayoyasema
FREE INTERNET tanzania haitoisha kamwe kaka hata uchonge vipi
Soma Footer yangu
KARIBU SANA
 
Hili basi limeamua liondoke na madiba nn la guru bado natamba nalo
 
hatimae basi limepata pancha tairi zote...abiria walionusurika bado haijajulikana ni wangapi...mwenye updates zozote kuhusu ajali hii atuabarishe

nilijua madiba kumbe paje lifestyle usikonde itakuwa fixed tu..
 
PD na TG ni vitu viwili tofauti kabisa, PD inatumia PD Proxy(VPN client) na TG inatumia Tunnel Guru(VPN client) ; ANGALIA PICHA HAPO CHINI

View attachment 124028


huyo nilimwambia FUTA hizo Port akasema kuna njia ya kuzitafuta
nikaamua kupotezea bana si unajua kumdharau mtu usiyemjua ni shida

Akaja dogo mwingine hiyo jana akanambia Mmm naongea utumbo

loading.......99.9%
scanning for open port.....
Port 80.... found
.... User saccessfully Terminated...
.



USHAURI WA BURE

  • VPN zote bado zinafanya kazi yake ya ku_open loopholes ila kuna upgrade ya basi letu inafanyika so need to panic
  • Hii ni just fundisho kuwa this is not a LEGAL TRADE
  • Heshima kwa kake zetu walio kwisha experience ile ajali ya kwanza ya munjy1 na zanyel na ile ya pili ya Paje
  • Tafuteni port na basi mbadala
 
Kila kitu kipo OK, PD, Guru, TwinVPN zote zinapiga kazi. Ni baadhi ya maeneo ndio hawana connection.
  • Angalia haka kapicha nipo connected na Air Romania
 
Hatimaye kampuni za simu zimezinduka au? Maana ni uzembe wa hali ya juu kuruhusu data inapita kwenye network yako bila kuweza kuifanyia accounting.



No system can be "secure"
All locks have keys
All keys can be recreated
 
Burst tairi zote hope hamna aliyenusurika ...RIP wezi wote wa mtandaoni
 
Kila kitu kipo OK, PD, Guru, TwinVPN zote zinapiga kazi. Ni baadhi ya maeneo ndio hawana connection.
  • Angalia haka kapicha nipo connected na Air Romania

kama umeweka Picha kuwa convince watu...ni kwamba picha kwa mtu mwenye upeo mpana hawezi iamini
nasema hivi sababu VPN yoyote kama umeweka bundle/hela lazima iconnect hivo kama your point nikuwa convince watu tengeneza short Video connct modem yako at 00 balance fungua page yoyote kwa kuwa hamna bundle page zitagoma hatua ya pili sasa fungua VPN yako i-connect iki-connect successfully na kufungua page hapo utakuwa umewa-WIN mathomaso
 
tengeneza short Video connct modem yako at 00 balance fungua page yoyote kwa kuwa hamna bundle page zitagoma hatua ya pili sasa fungua VPN yako i-connect iki-connect successfully na kufungua page hapo utakuwa umewa-WIN mathomaso
  • You are right
 
mchana majira ya sa7 sikuwa napata connection. Ngoja nikajaribu jioni hii nione mambo yako vipi
 
hata mimi imeshindwa kukonect kabisa leo
 
hehe safi sana,, wa2 warudi kenye blogu zao wakapost hii ki2 wasiweke port waz tu.
 
mchana majira ya sa7 sikuwa napata connection. Ngoja nikajaribu jioni hii nione mambo yako vipi

haya sasa mpaka saleh rashid apige migo kutafuta port nyingine
maana hizi port tunazozitumia kazitafuta yeye...ni ARF fulani TELECOM UD asipopata nyingine mtahaha sana na mtajifunza kitu fulani
 
msiba wa taifa...madiba tutamkumbuka kwa mengi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…