GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

Status
Not open for further replies.
HATER kazi kwako sasa nishapata PORT mpya PD itaendelea kwa UDP server ports kawaida
Nimecontact admin wa TG na meteorVPN afungue hiyo port mpya katika server zake
rvdl.jpg
aaaah sasa hili ndio nilolisema litatokea sasa baada ya kuwapa hizo port mpya nilowapa Saleh na wenzake ndio balaa hili, msitake kushindana nao hawa ISP mie nimekupeni port mpya ili msipoteze clients wenu wa TZ ila sasa mnaweka mambo wazi kama hivi naona sasa janga litakalotokezea nitawaachia wenyewe mtafute njia nyengine, yaani dah mumeniboa kweli. Hawa jamaa hawawezi kulipa watu wazibe matundu hela nyingi halafu wakaondoka matobo bado yako wazi, itapatikana njia ila itatake long time mpaka mupate njia mpya.
 
aaaah sasa hili ndio nilolisema litatokea sasa baada ya kuwapa hizo port mpya nilowapa Saleh na wenzake ndio balaa hili, msitake kushindana nao hawa ISP mie nimekupeni port mpya ili msipoteze clients wenu wa TZ ila sasa mnaweka mambo wazi kama hivi naona sasa janga litakalotokezea nitawaachia wenyewe mtafute njia nyengine, yaani dah mumeniboa kweli. Hawa jamaa hawawezi kulipa watu wazibe matundu hela nyingi halafu wakaondoka matobo bado yako wazi, itapatikana njia ila itatake long time mpaka mupate njia mpya.

Umempa nani PORT I see acha kujipaisha basi
Njunwa wamavoko ni independent thinker hangongeagi mambo madogo kama haya
Port nimetafuta mwenyewe na ni FRREEDOM yakuianika mwenyewe ningekuwa nimepewa ningefyata mkia
sema na PORT za TunnelGuru na TroidVPN umenipa mwenyewe
ybnf.jpg



34gp.jpg



Umenichekesha kweli yaani kitu cha mchana ndo unashtuka sasa hivi
si umesema kumpa Adolf
 
still some spoiled brats are rattling over this shyt
please grow up.
 
Dah sijawahi kuona mtu mjinga na -------- kama wewe, leo nakupa live kavukavu, after all i have done kusukuma wateja kwako wa droid vpn bila mwenyewe kujijuwa, na kama unataka ushahidi uliza wangapi humu wananipigia nawapa namba zako, wangapi wanataka pdproxy voucher nakuwa busy nawapa namba zako, mwisho uluposema itafutwa UDP port ktk hii thread nikakwammbia mwambie Saleh anitafute nimpatia sahivi unajifanya bingwa sio, mwamba mie sina ujinga katika biashara na kusaidiana kupo sasa kama wewe unajifanya mjuaji mimi hiyo port naiweka hadharani hapa hapa halafu utaona kama kesho ikiblokiwa utapata hizo port wewe si unajifanya bingwa sasa leo nakupa live kabisa na natangaza hasa nataka vita na wewe CYBER WAR unaweza?????? i will make sure u loose every thing in 1 week na utazima simu mwenyewe, pimbi.

Wataalam mukishindwa kuelewana kwa pamoja na sie tusiojua mambo haya tech undani zaidi tutaponea wapi? Jiwekeni sawa
 
teh teh teh ..... Punguzeni vitisho na kick zisizo na maana, we all want same things here!! Hakuna mwisho wa ubora we all need each other.
 
teh teh teh ..... Punguzeni vitisho na kick zisizo na maana, we all want same things here!! Hakuna mwisho wa ubora we all need each other.
jamaa mjinga sana yeye yupo kwenye majisifu tu hajui kama ndio anafuja, kaambiwa mwanzo wacha jamaa wamalize kazi walopewa yeye anataka aonekane kinara.
mie namsubiri ajibu tu niweke mambo hadharani.
Waswahili wanasema vita vya Panzi neema kwa kunguru.
 
Jamani wakubwa mambo yanaenda kombo,mkianza kutunishiana misuli tunaumia sisi huku. Calm down guys.
 
Oya wakubwa
munjy1 ...... njunwa wamavoko ,
. Geukianen kwa PM bwana....
hiì ki2 iko Tanzania wide,
watu weng wanaitegemea
sasa fahari wawili, mki2nishiana Hawa Nyasi Watazid kuumia tu,
vi2 vidogo vidogo hv,
Geukianen kwa PM tu Wakuu
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, nimefuatilia sana uzi huu na inaonekana kuna mvutano wa UJUAJI wa haya mambo. Lakini hata hivyo hakuna aliyesema kiuhakika ni nini kilitokea hadi janga hili likaanza, linaendeleaje na litaisha vipi. Kimsingi ni kuwa huduma hii pamoja na kuwa inaendeshwa kiaina lakini inatusaidia wengi tulio serious na matumizi ya internet na tumechoka kulipa kwa hao jamaa kwani tunajua huduma hii wameiweka ghali sana bila sababu, ni kutaka kutuibia tu. Ushauri wangu ni huu:
1. Nyie wadau mnaotoa maujanja haya mngeacha kuvutana na kukaa kimya kabisa ili hao jamaa wajue wamefanikiwa kuziba matobo yao yote kumbe mengine yako wazi na tunaendelea kuyatumia.
2. Nyie wadau mnaotoa huduma hii kwetu mngeshirikiana ili kutafuta ufumbuzi wa kudumu ili hali hii isijitokeze tena kwa mfano kuanzisha filter kujua wateja wanaohitaji kiukweli huduma hii au wanaotaka kujua mnatumia ujanja gani kutoa huduma ili baada ya muda wakapige hela kwa ISPs.
3. Naamini mnajua kuwa tunawaamini sana ndiyo maana tunawatumia pesa bila kukutana au kufahamiana sana na huduma inakwenda hivyo hata mkikaa kimya bila kujitokeza humu sisi wateja tunajua tutawapata vipi na huduma itaendelea. Suala la kujitangaza wengi kwenye signature zenu mmeeleza, hivyo inatosha kabisa.
4. Kuzozana ni dalili ya kutapatapa, kwamba kumbe hata nyie labda mnayapata haya mambo kibahatibahati tu. Kwamba kama tulivyopaniki wateja baada ya kukuta janga hili na nyie pia mmepaniki. Kwa kawaida mtu makini ana plan B kwa kila anachokifanya, badala ya kuanza kutoleana maneno mazito humu jamvini mngeanza kuexecute plan B.

Tupo pamoja wakuu, haipendezi kuona mnafarakana kiasi hiki. Uzuri ni kwamba sisi wateja serious tunajua uwezo wa kila mmoja wenu. Mimi binafsi inanisikitisha kumuona mtu ninayemwamini akiropoka kama vile anataka tukose wote.
 
Dah sijawahi kuona mtu mjinga na -------- kama wewe, leo nakupa live kavukavu, after all i have done kusukuma wateja kwako wa droid vpn bila mwenyewe kujijuwa, na kama unataka ushahidi uliza wangapi humu wananipigia nawapa namba zako, wangapi wanataka pdproxy voucher nakuwa busy nawapa namba zako, mwisho uluposema tafuta njia ya kupata UDP port ya kuconnect pdproxy ktk hii thread nikakwammbia mwambie Saleh anitafute nimpatie sahivi unajifanya bingwa sio, mwamba mie sina ujinga katika biashara na kusaidiana kupo sasa kama wewe unajifanya mjuaji na ni jeshi la mtu 1 mimi hizo port naziweka hadharani hapa hapa halafu utaona kama kesho ikiblokiwa utapata hizo port wewe si unajifanya bingwa sasa leo nakupa live kabisa na natangaza hasa nataka vita na wewe CYBER WAR unaweza?????? i will make sure u loose every thing in 1 week na utazima simu mwenyewe, pimbi.
Hivi unajuwa india, philipine, kenya na nchi nyengine kwa nini wakipata trick zinadumu miaka mingi? kwa sababu hakuna reseller wajinga kama wewe, nyambaf mkubwa. Wewe watu wapo kwenye majanga ya port kubanwa ndio kwanza unajifanya hero kuvutia biashara badala kuwa utulie, mkuu mie nipo kwenye hii game kabla yako na sio kabla yako wewe tu bali kabla ya reseller wote wa TANZANIA and i know what is the risk, narejea tena mimi nina market world wide na siuzi free internet nauza PDPROXY vouchers.
Mie ukiendelea na upumbavu wako kama huu nitaanzisha thread kila kona kutangaza ni mtandao gani unaotumika na port zote hadi hao wenye mitandao waone jinsi wanavyoibiwa na nitaandika hadi njia za kubloki, endelea kuleta ujinga, panya kasoro mkia

kaka haujieelewi mm nilikuwa nakukashifu tu kukwambia lete Port mpya nikijua hauwezi kitu wewe fuata QSAT China Hii sio Fun yako muachie Njunwa wamavoko
najua huwa unadirect wateja wa DroidVPN kwangu sababu huwawezi kuwaudumia na hizo PORT ume mpa nani sema atoe ushaiidi hapa mbona wateja wako wamekupigia uwape port ukawambia hausiki na kugawa settings bali kuuza QSAT sasa iweje uniite mjinga,pimbi,mpumbafu

wewe kweli ujisomi unatafuta SIFA kupitia mgongo wa njunwa wamavoko mm tokea jana nakwambiaa hata PORT ziblockiwe Vipi ntapata PORT nyingine
 
jamaa mjinga sana yeye yupo kwenye majisifu tu hajui kama ndio anafuja, kaambiwa mwanzo wacha jamaa wamalize kazi walopewa yeye anataka aonekane kinara.
mie namsubiri ajibu tu niweke mambo hadharani.
Waswahili wanasema vita vya Panzi neema kwa kunguru.

DOGO hacha majivuno Hapa kajitambe na QSAT na sio VPN hata siku moja ulisema saa 4:00PM jana kuwa utampa PORT adolph mm akaquote saa 5:00PM kwamba mpe hizo hakutoa response yoyote mimi nilishapata hizo port around saa Tisa nikawa nakukashifu kuona kama Una lolote au umetunisha 2 balls zako
 
jamaa mjinga sana yeye yupo kwenye majisifu tu hajui kama ndio anafuja, kaambiwa mwanzo wacha jamaa wamalize kazi walopewa yeye anataka aonekane kinara.
mie namsubiri ajibu tu niweke mambo hadharani.
Waswahili wanasema vita vya Panzi neema kwa kunguru.

Hii ndo PM niliyopokea kutoka kwa mteja wako
Mkuu naona JF kuna wanafiki wengi !!
Munjy1 tumemuomba port akadai yeye yupo bussy sana na hajishughulishi na matobo kabisa yeye anauza PD na visimbuzi hana mpango na Setting.
Leo nimeshangaa eti katoa pange.......... nakupa 5 kwa kumzodoa live huyu Mhafidhina wa Kunyea Boga.

Hizo port fanya kwa PM kwa wakongwe tu hachana na waropokaji.
Mimi nasubiria unipe tu Kamanda

sema sasa hizo PORT ulimpa nani tumfuate physically na sema hiyo PORT ni namba ngapi ili nikuumbue kuwa sio ninayoitumia natengeneza Video sasa hivi kuiweka hiyo PORT mpya na wewe tengeneza video yako tuone sasa nani jembe

ACHA MAJIVUNO KAKA
 
Hey munjy1 kausha nafkiri huyo njunwa wamavoko kesha elewa.
Nasema hv coz sa hv ukiangalia kenya orange keshafanya yake. Nigeria MTN keshafanya yake na south africa watu wanalia pdproxy imegoma.
So inabidi tuwe makini kidogo, punguzeni disclosure ya hii kitu kwa public.
Naamini mkiendelea hv it won't last long.
 
Last edited by a moderator:
duh!! Mimi ni mhanga wa hyo kitu 3months zangu za TG hzo ndo zinataka kupotea... Nasubiri kwa hamu sana hyo port!! Ila just a hint hatufanani cha msingi ni kuchukuliana namna tulivyo tu. U cant make all people behave the same way u do.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom