GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

Status
Not open for further replies.
Mtoa mada PD haijafa bado ila usafiri wa bure ndo hakuna baada ya basi la pekee kupata Accident.
Najua kunawanaolia na kusaga meno but wapo wengine wanaangusha Kicheko cha nguvu kwa kufanikisha Azma yao.
Ndo hivyo tena waliolipia juzi na jana yabidi wasuspend ACC zao kusubiri tonge lingine au wazitumie kufichia M.asa.buri. Paje na munjy1 wapo anga zingine so kazi kwenu njunwa wamavoko mwl crtl na wadandiaji kusaka open port ingine na jinsi ya kutoa huduma kimya kimya.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

kaka mbona PD iko fresh tu kwa basi letu
Ila wanafanya Upgrade tu ya hiyo 3G yao lkn kitu hiko hewani mm hapa niko hewani na PD proxy bila shida
Na sio wote inawakumba hii shida
 
Safi sana, siju kwa nini wamechelewa kuzipa hizo port mda wote huo... Tatizo la watanzania wengi ni vilaza mno, mnapata bahati ya kupata upenyo kama huo badala ya kula kimya kimya mnawatangazia watu oooh ukitaka net ya bure ni check PM na wengine waligeuza kuwa ndio biashara haya sasa kuleni Ma.sa.bu,ri Yenu.

utaumbuka kwa maneno unayoyasema
FREE INTERNET tanzania haitoisha kamwe kaka hata uchonge vipi
Soma Footer yangu
KARIBU SANA
 
Hili basi limeamua liondoke na madiba nn la guru bado natamba nalo
 
hatimae basi limepata pancha tairi zote...abiria walionusurika bado haijajulikana ni wangapi...mwenye updates zozote kuhusu ajali hii atuabarishe

nilijua madiba kumbe paje lifestyle usikonde itakuwa fixed tu..
 
PD na TG ni vitu viwili tofauti kabisa, PD inatumia PD Proxy(VPN client) na TG inatumia Tunnel Guru(VPN client) ; ANGALIA PICHA HAPO CHINI
attachment.php

View attachment 124028


huyo nilimwambia FUTA hizo Port akasema kuna njia ya kuzitafuta
nikaamua kupotezea bana si unajua kumdharau mtu usiyemjua ni shida

Akaja dogo mwingine hiyo jana akanambia Mmm naongea utumbo

loading.......99.9%
scanning for open port.....
Port 80.... found
.... User saccessfully Terminated...
.

hiyo port siku wakiipiga chini ndo mtajua kuwa hivi vitu inabidi vifanywe confidential
nimejiunga JF August 2012 nikakuta TunnelGuru inauzwa na Paje na sheria zilikuwa "HAMNA NEW MEMBER WA JF BELOW APRIL 2012 ANARUHUSIWA KUPEWA MAUJANJA"
Hii ni sababu arond hizo siku Zantel waliweza kufix loopholes zao hivo members waliojiunga hicho kipindi walikuwa suspected kama wahusika wakubwa na wengi wao wakiwa IT wa zantel
Nahisi hii colonial era itarejea tena maana mna expose sana haya mambo


USHAURI WA BURE

  • VPN zote bado zinafanya kazi yake ya ku_open loopholes ila kuna upgrade ya basi letu inafanyika so need to panic
  • Hii ni just fundisho kuwa this is not a LEGAL TRADE
  • Heshima kwa kake zetu walio kwisha experience ile ajali ya kwanza ya munjy1 na zanyel na ile ya pili ya Paje
  • Tafuteni port na basi mbadala
 
Kila kitu kipo OK, PD, Guru, TwinVPN zote zinapiga kazi. Ni baadhi ya maeneo ndio hawana connection.
  • Angalia haka kapicha nipo connected na Air Romania
rz74.jpg
 
Hatimaye kampuni za simu zimezinduka au? Maana ni uzembe wa hali ya juu kuruhusu data inapita kwenye network yako bila kuweza kuifanyia accounting.

Safi sana, siju kwa nini wamechelewa kuzipa hizo port mda wote huo... Tatizo la watanzania wengi ni vilaza mno, mnapata bahati ya kupata upenyo kama huo badala ya kula kimya kimya mnawatangazia watu oooh ukitaka net ya bure ni check PM na wengine waligeuza kuwa ndio biashara haya sasa kuleni Ma.sa.bu,ri Yenu.


No system can be "secure"
All locks have keys
All keys can be recreated
 
Burst tairi zote hope hamna aliyenusurika ...RIP wezi wote wa mtandaoni
 
Kila kitu kipo OK, PD, Guru, TwinVPN zote zinapiga kazi. Ni baadhi ya maeneo ndio hawana connection.
  • Angalia haka kapicha nipo connected na Air Romania
rz74.jpg

kama umeweka Picha kuwa convince watu...ni kwamba picha kwa mtu mwenye upeo mpana hawezi iamini
nasema hivi sababu VPN yoyote kama umeweka bundle/hela lazima iconnect hivo kama your point nikuwa convince watu tengeneza short Video connct modem yako at 00 balance fungua page yoyote kwa kuwa hamna bundle page zitagoma hatua ya pili sasa fungua VPN yako i-connect iki-connect successfully na kufungua page hapo utakuwa umewa-WIN mathomaso
 
tengeneza short Video connct modem yako at 00 balance fungua page yoyote kwa kuwa hamna bundle page zitagoma hatua ya pili sasa fungua VPN yako i-connect iki-connect successfully na kufungua page hapo utakuwa umewa-WIN mathomaso
  • You are right
 
mchana majira ya sa7 sikuwa napata connection. Ngoja nikajaribu jioni hii nione mambo yako vipi
 
hata mimi imeshindwa kukonect kabisa leo
 
hehe safi sana,, wa2 warudi kenye blogu zao wakapost hii ki2 wasiweke port waz tu.
 
mchana majira ya sa7 sikuwa napata connection. Ngoja nikajaribu jioni hii nione mambo yako vipi

haya sasa mpaka saleh rashid apige migo kutafuta port nyingine
maana hizi port tunazozitumia kazitafuta yeye...ni ARF fulani TELECOM UD asipopata nyingine mtahaha sana na mtajifunza kitu fulani
 
msiba wa taifa...madiba tutamkumbuka kwa mengi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom