GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

GONE TOO SOON...R.I.P Pd Proxy

Status
Not open for further replies.
hatimae basi limepata pancha tairi zote...abiria walionusurika bado haijajulikana ni wangapi...mwenye updates zozote kuhusu ajali hii atuabarishe
Mkuu nakupigia simu sasa hivi nakupa port mpya ila kwa sharti 1 tu, mimi niko busy nina dharura so hizo port nitakazokupa naweka namba yako ya simu hapa wewe ndio utabeba jukumu la kuwapa na wenzako hiyo port. Jee unakubali hilo???
 
haya sasa mpaka saleh rashid apige migo kutafuta port nyingine
maana hizi port tunazozitumia kazitafuta yeye...ni ARF fulani TELECOM UD asipopata nyingine mtahaha sana na mtajifunza kitu fulani
hahahaha watu hawasomi tu ila subirini mie nitakupeni port nyengine ila ikibanwa mtajijumsinipigie simu mkaanza zogo week end watu wanapumzika, mwambie saleh anitafute.
 
hahahaha watu hawasomi tu ila subirini mie nitakupeni port nyengine ila ikibanwa mtajijumsinipigie simu mkaanza zogo week end watu wanapumzika, mwambie saleh anitafute.

fanyeni mambo wakuu jana imenifanya nilale mapema wakati sio kawaida yangu
 
hahahaha watu hawasomi tu ila subirini mie nitakupeni port nyengine ila ikibanwa mtajijumsinipigie simu mkaanza zogo week end watu wanapumzika, mwambie saleh anitafute.

hapo kuna mdau kasema kitu sasa hivi ni kukaa kimya maana itakuwa haina maana kama ukitoa port afu jumatatu mchana nayo ikazimwa hapa nikusubiri upepo utulie na hiyo Upgrade iishe wale wa 3G roaming wanapata connection bila shida
Huo ndo ushauri niliopewa na bwana Paje kwamba adui itbidi tumsubiri amalize kazi na sisi ndo tuanze kujiami upya
 
Last edited by a moderator:
Hivi hii ni Signature ya nani vile? hahaha utalia mwaka ujao tuombe uzima... Alafu mimi siyo Kaka.

HATER kazi kwako sasa nishapata PORT mpya PD itaendelea kwa UDP server ports kawaida
Nimecontact admin wa TG na meteorVPN afungue hiyo port mpya katika server zake
rvdl.jpg
 
Mkuu nakupigia simu sasa hivi nakupa port mpya ila kwa sharti 1 tu, mimi niko busy nina dharura so hizo port nitakazokupa naweka namba yako ya simu hapa wewe ndio utabeba jukumu la kuwapa na wenzako hiyo port. Jee unakubali hilo???

nipo tayari mkuu weka mambo
 
Kitu kna blaze kama kawa nimeenda nimechukua line ambayo nimeisahau nikatia kwa modem .....issue kama kawa......!!!
 
Ngoja 2 me nasikilizia mana Watu ndo wanaanza kuzubaa tena,
kuonekana kwa hyo orpt mpya,
watu wanajiona, kama wamewawin ma ISP,
Na kuanza kujisifu humu, utafikiri wao wanavyoona masifa yenu humu, HAWAUMII hv, m2 unavyomuibia huku anajiona Lazma aumie,
ngoja waibane na hii, arafu ndo muone mambo ya UMIMI (colonial era) Yaanze kwa PM, ndipo Ma resseller atakapo anza kuchunga abiria wake.

.
PD PROXY sio mataila walivyo wapa note hii
.
Note: Do not ask us to open a
port for you since it is not us
who can open those ports. You
need to contact your ISP/
Network Administrator to
open at least one UDP port for PD-Proxy to work. If you
cannot find an open UDP port
then please try to use ICMP and
TCP protocol.
 
naombeni tofauti ya speed ya internet kwa line yenye 64k na 32k
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom