Inawezekana ni machozi ya kweli
![]()
Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiwa na huzuni wakati Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick anamsomea taarifa kuhusu milipuko ya mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo La Mboto. Makinda ametembelea kambi ya waathirika, Mzambarauni jijini humo.(Picha na Fadhili Akida).
Well said.Mnafiki mkubwa ana roho mbaya kama sura yake.
Hahahaha!!!Je hiyo picha inaonyesha aanlia kweli? au macho yangu? kwa sababu hata machozi hayaonekani ndo maana kaweka mkono, hapo akitoa mkoa lazima ataonekana anacheka kama mkuu wake alivyokuwa anachekacheka. Halafu hiyo sura utafikiri watu wa kale wale wa zama za mawe!
Pengine ameguswa na hilo kama binadamu, kama ambavyo angeguswa na yeyote mwenye angalau chembe ya ubinadamu kidogo. Lakini amechelewa kuonesha hisia zake, mabomu ya Mbagala na Gongolamboto ni sehemu chache tu ya mateso ya Watanzania, (magonjwa, njaa, umeme, elimu, maji) atalia mangapi? Machozi si ishara ya maumivu, mamba naye analia wakati anakula binadamu.Aache danganya toto...........huyu mama ni mpuuzi sana i.e kiburi,jazba,usanii, etc ndio sifa zake