Goms yamliza Makinda

Ni kweli atakuwa halii manake hii picha iko clear sana tungeona at least kotone ka chozi kanashuka, kanafiki sana kamama haka kanapretande tu!!!
:A S 112:
 
Viongozi wanolia lia wamekuwa wengi sana huko ccm...au ndio mbinu mpya ya kuhurumiwa kwa umafia wao wanaotufanyia?
 
Kinachomliza nini?kilio chake alipaswa kukitoa bungeni,asitufanye majinuni.Kikwete hajalia,pinda hajalia, makamu wa rais hajalia kwa sababu wanajua madudu yaliyofanyika,asitudanganye kulia kwa niaba ya serikali ya mafisadi
 
Mbona kafunika uso na vidole vya bandia! sasa vingozi wakilia sisi raia tufanyeje!! Ebu mko pale nyumbani wewe ni mtoto alafu tatizo linatokea mara Baba na Mama wanaanza kulia! badala ya kutatua tatizo; ajabu sana maana haya matatizo wanayowafanya hawa watu walie ni mambo ambayo yanatatulika kabisa kwa viongozi makini wala dawa yake siyo kulia, au wamefanya makusudi kulipua kwahiyo dhamira yake inamliza! au maana yake nini?
 
02_11_c13mja.jpg


sura kama taribo west
 
Taribo west wa naijeria!!!!? Wamefanana hasa huo weusi na sura. Makinda mnafiki tu yeye mwenyewe ndo alipinga hoja ya lissu aliyetaka bunge lijadili issue ya mabomu ya gongo la mboto la mboto kama jambo la dharura. Makinda alisema hakuridhika kama jambo lile lilikua kwa sababu siku tatu zilishapita tangu mabomu yalipuke.
 
Back
Top Bottom