Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Marehemu babu yangu Eng.Dr Peter Komba alikua wizara ya ujenzi miaka hiyo kabla ya kukumbwa na kashfa ya rushwa yeye na wenzake akina Kiula.
Nilimsikia akimwambia msure maneno haya...
“Huyu kijana Magufuli hafai kabisa simpendi, anajifanya mjuaji kwenye mambo ambayo yanahitaji utaalam anachokitaka yeye ndicho anataka kiwe hata kama kitalaam siyo sahihi” babu aliendelea kusema “ni mnyanyasaji,mtu wa visasi na mwenye kiburi sana, hapo alipo ni Junior tu imagine akiwa senior!?!?”
“huyu kijana akija kupewa mamlaka makubwa, atalewa sifa na kuharibu kazi za watu”
Ilikua mwaka 2002 one year later he passed away.
13 years later jamaa akashinda uchaguzi fair au kimagumashi it doesn't matter... Lakini a year and few months later baada ya kua raisi maneno ya babu yamepata uhai.
Aliyokua akimwambia msure ndio yanayo tokea sasa.
Babu huko aliko atakua anajisemea “nilimwambia kijana , angalia kinachotokea”.
Hakuna aliyeelewa hata mamsap alipolisemea hilo pia.Ngoja tujifunze kwenye mazingira magumu