Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hao wanafiki kwenye huu uzi hutawaona.Hapa hatajibu,labda Mwakyembe,na wale wote waliokuwa wanamtetea Mwakyembe sasa waje hapa
Hao wanafiki kwenye huu uzi hutawaona.Hapa hatajibu,labda Mwakyembe,na wale wote waliokuwa wanamtetea Mwakyembe sasa waje hapa
Aisee umesema ukweli kabisa! Maguuu hana aibu kabisa. In fact ukimuita dikteta yeye anafurahia anaona ni sifa! Yote hii inatokana na lack of exposure!Kwani unamuona anasura ya aibu au ya udktta?
Kunya anye Kuku, ..................Kwa CCM ni halali ila kwa wapinzani ni kosa.Bora hili limetoka tumeujua ukweli wa Mwakyembe
Kwani anafanya mtihani wa kuwasilisha hoja? Hoja yake iko wazi hapa bila kujali imewasilishwaje!Una hoja. Lakini namna ulivyoiwasilisha .......
Hao wanafiki kwenye huu uzi hutawaona.
Kunya anye Kuku, ..................
Asante kwa maoni nimeamka na hasira na magufuli na mwakyembe wa kyela ikoloUna hoja. Lakini namna ulivyoiwasilisha .......