Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Kutoelewa ni sifa ya binadam pia,japo wanayama nao wana sifa ya KUTOELEWASasa hii ni taarifa ama tuhuma maana hata mleta mada haeleweki anataka kufanya nini!
Kutoelewa ni sifa ya binadam pia,japo wanayama nao wana sifa ya KUTOELEWASasa hii ni taarifa ama tuhuma maana hata mleta mada haeleweki anataka kufanya nini!
Hilo nimelipokea, baada ya msokoto yataporomoka zaidi.Naomba uniletee matusi niliyotukana. Kama umekosa la kuandika bora ukakaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako mbele za watu.
Inavyoelekea mleta mada pamoja na ukawa wenzake kiswahili kinawapiga chenga sana! Mtu ukishasema kuwa " alishawahi" inamaana hiyo ni past! Hatujui kuhusu sasa! Huyo jamaa, status yake ni past! Tofauti na lisu ambaye ni mbunge wa Bunge LA jmt na mwansheri mkuu Chadema! Tofauti ipo kubwa sana!Ni vyote viwili, kama ulivyoona. Una swali jingine?
Mkuu Stroke huwezi kucheua hii.Inavyoelekea mleta mada pamoja na ukawa wenzake kiswahili kinawapiga chenga sana! Mtu ukishasema kuwa " alishawahi" inamaana hiyo ni past! Hatujui kuhusu sasa! Huyo jamaa, status yake ni past! Tofauti na lisu ambaye ni mbunge wa Bunge LA jmt na mwansheri mkuu Chadema! Tofauti ipo kubwa sana!
Haya wewe na ukawa wenzake tuambieni huyo mliyemtaja nafasi yake ccm kwa sasa ni ipi ukiachana na hiyo kwamba alishawahi kuwa mgombea na akashindwa?
Kwahyo ameshatupa kadi yake ya CCM??Inavyoelekea mleta mada pamoja na ukawa wenzake kiswahili kinawapiga chenga sana! Mtu ukishasema kuwa " alishawahi" inamaana hiyo ni past! Hatujui kuhusu sasa! Huyo jamaa, status yake ni past! Tofauti na lisu ambaye ni mbunge wa Bunge LA jmt na mwansheri mkuu Chadema! Tofauti ipo kubwa sana!
Haya wewe na ukawa wenzake tuambieni huyo mliyemtaja nafasi yake ccm kwa sasa ni ipi ukiachana na hiyo kwamba alishawahi kuwa mgombea na akashindwa?
Rais wa Tanzania wewe ndg Magufuli na Waziri wako mbunge Harrison Mwakyembe, mnamfahamu mgombea huyu katika picha wa Chama cha Wanasheria ambaye nyinyi mnapigia kampeni kwa kumpinga Tundu Lissu aliwahi tia nia kupitia CCM???
Rais Magufuli unachoogopa ninini TLS ikija ongozwa na Lissu?? Tundu Lissu ni mwanasheria hofu yenu inakuja wapi?? Mnachokiona kibaya ninini???
Naomba niwakumbushe machache tuu pale mnaposema Lissu ni Mwanasiasa na kwamba akigombea ataingiza siasa ndani ya TLS, na huyu GODWIN MWAIPONGO je? Mbona aligombea kupitia CCM je ndio misingi mliyoweka??
Na Lissu mnaona ni dhambi gani akigombea?? Niende kwa Dr Mwakyembe wewe mzee Kyela unaitwa Nkurunzinza kwa tabia zako aisee. Umeacha kuhudumia vitu vya msingi jimboni kwako ambako kuna mahitaji mengi unatetea vitu ambavyo unajua sheria inaruhusu kama, mikutano ya kisiasa iliyozuiliwa na Joni wa chato, umeenda issue ya madawa, unaweweseka tuu mzee wetu sijui ile sumu waliyokupa imekupoteza akili yako kabisa nashindwa kuelewa,
Kyela ina matatizo ya maji ni tabu lkn huku unabwabwaja tuu mzee, Kyela barabara maeneo mengi changamoto bado hujatekeleza. Mwakyembe simamiasheria na sio kumuogopa Joni wa Chato.
Uchaguzi ni tarehe 17 marchUchaguzi ni tarehe ngap mkuu??
Rais wa Tanzania wewe ndg Magufuli na Waziri wako mbunge Harrison Mwakyembe, mnamfahamu mgombea huyu katika picha wa Chama cha Wanasheria ambaye nyinyi mnapigia kampeni kwa kumpinga Tundu Lissu aliwahi tia nia kupitia CCM???
Rais Magufuli unachoogopa ninini TLS ikija ongozwa na Lissu?? Tundu Lissu ni mwanasheria hofu yenu inakuja wapi?? Mnachokiona kibaya ninini???
Naomba niwakumbushe machache tuu pale mnaposema Lissu ni Mwanasiasa na kwamba akigombea ataingiza siasa ndani ya TLS, na huyu GODWIN MWAIPONGO je? Mbona aligombea kupitia CCM je ndio misingi mliyoweka??
Na Lissu mnaona ni dhambi gani akigombea?? Niende kwa Dr Mwakyembe wewe mzee Kyela unaitwa Nkurunzinza kwa tabia zako aisee. Umeacha kuhudumia vitu vya msingi jimboni kwako ambako kuna mahitaji mengi unatetea vitu ambavyo unajua sheria inaruhusu kama, mikutano ya kisiasa iliyozuiliwa na Joni wa chato, umeenda issue ya madawa, unaweweseka tuu mzee wetu sijui ile sumu waliyokupa imekupoteza akili yako kabisa nashindwa kuelewa,
Kyela ina matatizo ya maji ni tabu lkn huku unabwabwaja tuu mzee, Kyela barabara maeneo mengi changamoto bado hujatekeleza. Mwakyembe simamiasheria na sio kumuogopa Joni wa Chato.
wahusika ni member humu JF,ujumbe unawafikia barabara.Kumbe kuwa mwanachama au mfuasi wa chama cha upinzani, kwenye 'nchi barani Africa' , ni matusi, kejeli na shutuma kwa viongozi wa Serikali iliyoko madarakani!
Naamini mtu mstaarabu anajibu hoja kwa hoja na kitendo kwa kitendo, kuashiria na kuthibitisha ukamilifu na ubora wake.
Humu jamvini ni matusi, lawama, vilio, dua mbaya tu. Ila ukweli yanaishia humu humu maana hakuna mwenye ubavu wa kujitokeza hadharani.
TUENDELEE KUSHUSHA MIKANDAMIZO YETU NYUMA 'KEYBOARDS' ZETU
Inasubir kuzikwaaNchi imekufaaaaa