kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Duh hii sasa Kali kwahiyo hapa wenye nchi wanasemaje
Umkubali, husimkubali hiyo ni uamuzi wako!Kamwe sitokuja kumkubali Magu kutokana na tabia zake za chuki na kutenda kinyume na kauli zake.
Uchaguzi wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS umevutia hisia za wengi ikiwemo Waziri wa Sheria na Katiba Harrisson Mwakyembe kutoa tishio la kuifuta TLS na hii hapa ni Kauli ya Mh. Rais kuhusu habari za uchaguzi wa Tanzania Law Society
source: Khelef Nassor
Rais wa Tanzania wewe ndg Magufuli na Waziri wako mbunge Harrison Mwakyembe, mnamfahamu mgombea huyu katika picha wa Chama cha Wanasheria ambaye nyinyi mnapigia kampeni kwa kumpinga Tundu Lissu aliwahi tia nia kupitia CCM???
Rais Magufuli unachoogopa ninini TLS ikija ongozwa na Lissu?? Tundu Lissu ni mwanasheria hofu yenu inakuja wapi?? Mnachokiona kibaya ninini???
Naomba niwakumbushe machache tuu pale mnaposema Lissu ni Mwanasiasa na kwamba akigombea ataingiza siasa ndani ya TLS, na huyu GODWIN MWAIPONGO je? Mbona aligombea kupitia CCM je ndio misingi mliyoweka??
Na Lissu mnaona ni dhambi gani akigombea?? Niende kwa Dr Mwakyembe wewe mzee Kyela unaitwa Nkurunzinza kwa tabia zako aisee. Umeacha kuhudumia vitu vya msingi jimboni kwako ambako kuna mahitaji mengi unatetea vitu ambavyo unajua sheria inaruhusu kama, mikutano ya kisiasa iliyozuiliwa na Joni wa chato, umeenda issue ya madawa, unaweweseka tuu mzee wetu sijui ile sumu waliyokupa imekupoteza akili yako kabisa nashindwa kuelewa,
Kyela ina matatizo ya maji ni tabu lkn huku unabwabwaja tuu mzee, Kyela barabara maeneo mengi changamoto bado hujatekeleza. Mwakyembe simamiasheria na sio kumuogopa Joni wa Chato.
Umejikakamuaaa mwenyewe...daah.poleeKwani Rais aliposema kua wanasiasa wanataka Uongozi Kwani akili yenu mnazani alimlenga Lisu, kwanini msizani alimlenga huyu wa CCM.. Ni ujinga wenu kuzani kila jambo linawahusu nyinyi, kila vita ambayo Rais anapambana nayo mnasingizia inahusu Chadema ni ujinga sana
Rais alipoingia madarakani, alianza kutumbua, chadema wakatoka barazani kua anatumbua watu waliounga mkono Chadema au watu wa kaskazini
Alipokataza maandamano, mkasema nayo wamelengwa Chadema
Walipoanza kushughulikia watu wa madawa, mmesema inalengwa Chadema kisa katajwa Mbowe, wakati Manji, azani, na Kina Wema ni CCM, ujinga..
Wamekataza viroba tena mnasema wanalengwa Chadema
BAHALULI NYINYI
we naona umebinywa mahali au una pilipili machon huon unachoandika.baba maneno yake yanatosha kujua maana no brekKwani Rais aliposema kua wanasiasa wanataka Uongozi Kwani akili yenu mnazani alimlenga Lisu, kwanini msizani alimlenga huyu wa CCM.. Ni ujinga wenu kuzani kila jambo linawahusu nyinyi, kila vita ambayo Rais anapambana nayo mnasingizia inahusu Chadema ni ujinga sana
Rais alipoingia madarakani, alianza kutumbua, chadema wakatoka barazani kua anatumbua watu waliounga mkono Chadema au watu wa kaskazini
Alipokataza maandamano, mkasema nayo wamelengwa Chadema
Walipoanza kushughulikia watu wa madawa, mmesema inalengwa Chadema kisa katajwa Mbowe, wakati Manji, azani, na Kina Wema ni CCM, ujinga..
Wamekataza viroba tena mnasema wanalengwa Chadema
BAHALULI NYINYI
Mimi nadhani umefika wakati wa kufikiria na kuchuja sana sana kauli za huyu mtu asije akatuletea chuki mbaya katika jamii yetu tuliyo zoea kuishi kama kaka na dada bila kujali huyu CCM au CUF na hata bila kujali huyu ni Msukuma mwenzetu au ni Mchaga. Wahusika wa TLS waangalie taratibu zao zinasemaje kama wagombea waliopo wanaruhusiwa kugombea waachwe wagombee hata kama yeye hawapendi, kwasababu taasisi zote nchini haziwezi zikawa na watu anao wapenda yeye tu kwani yeye ni nani hasa? Mungu? TLS watuonyeshe kwamba ni chombo kilichojaa watu professionals kisichopelekwa pelekwa na mwangwi wa Siasa za chuki, Wasiruhusu uchaguzi usimamiwe na watu wasio eleweka eleweka yasije matokeo yakafanana na yale yanayopatikanaga katika chaguzi zetu hasa za visiwani.Kamwe sitokuja kumkubali Magu kutokana na tabia zake za chuki na kutenda kinyume na kauli zake.
Ha haaa haaaa kweli mtu unaweza kujificha ficha rangi yako halisi ila muda huwa haudanganyi!
Leo ndio nimeamini tena pasipo na shaka rais na mwakyembe wana chuki ya ajabu kwa kweli!
Uzuri kura wanayo wanachama wa TLS wapatao 6,000 na ndo watakaoamua. Labda walazimishe Tume ya Uchaguzi ya Taifa isimamie uchaguzi huu, au pengine hata Mkurugenzi wa Jiji la Arusha.Magu ataficha wapi sura yake kwa aibu hii
Mimi wala sisemi sana, maana kwa siasa hiz za chuki, kutosikiliza watu, mi nakaa kimya ila 2020 utakuwa mwaka ambao kugeuza matokeo itakuwa ngumu ngumu kupita maelezo!! Namuomba subhaanalah aniweke tu inshaalaa!!Kamwe sitokuja kumkubali Magu kutokana na tabia zake za chuki na kutenda kinyume na kauli zake.
Bavariaaaa!!!!!!! mabvu zangu ndugu yangu daaah!! Jamii Forum inapunguza stress jamani!!Rais wa nchi mwenye double standards kuliko kawaida.