Wakorintho 13:12: "Sasa tunaona mambo bila ukamilifu, kama kutafakari kwa kutatanisha kwenye kioo, lakini basi tutaona kila kitu kwa uwazi kamili . Yote ninayojua sasa ni sehemu na haijakamilika, lakini basi nitajua kila kitu kikamilifu, kama vile Mungu sasa ananijua kabisa" (NLT).
I’ve tasted both sides, upande wa Mungu una nafuu! Upande huu kuna amani sana.. kama mafundisho juu ya kuacha dhambi na kutenda mema, kuwa na upendo,amani na mengine mengi ni makosa.. acheni nichague huu upande!
Ni heri niamini Mungu yupo nisimkute, kuliko kuamini hayupo then nimkute!