God's time is a myth, The strategy of redundancy

God's time is a myth, The strategy of redundancy

Humans don't exist there.
God knew that humans would one day sin through free will. Satan had already fallen, and God allowed him to work on earth so that God’s plan of redemption and His great love for humanity could be revealed. This is why the earth became the center of redemption not because Satan is powerful, but because God’s grace is greater.
 
Wakati waongo wanaandika bibilia hawakujua kama kulikuwa na sayari zingine tofauti na Dunia 😂. Teknolojia inawaumbua.

Wao walichokuwa wanakijua ni mbingu (juu mawinguni) na Dunia (nchi) maana vilikuwq vinaonekana.

Ndiyo maana kwenye bibilia sijawahi kukutana na msamiati kama zuhura, zebaki, sumbula n.k.

Nyambafu sana wale wazee walioleta habari mungu.
 
Even if it's not God's time as most people say, I'd say hang in there 'coz your turn is yet to come. You may not believe in the almighty, but trust me there's natural prowess out there, something that controls the universe.
 
Even if it's not God's time as most people say, I'd say hang in there 'coz your turn is yet to come. You may not believe in the almighty, but trust me there's natural prowess out there, something that controls the universe.
Hebu hawa atheists watuambie hiyo nguvu ya ajabu hawajawahi kuiexperience ata kidogo? Hawaamini ipo nguvu yenye mamlaka kuliko vyote?

Vipi kuhusu watu ambao tumeiexperience hiyo nguvu mnaiterm vipi? Infropreneur
 
God knew that humans would one day sin through free will.
So, If God knew right from the beginning that humans would one day sin, Don't you see his work of creation is imperfect?

Why a perfect God creates imperfect humans who can sin?

If there's freewill, why can't you use it to go back in time?

If truly freewill exists, Can you use it to go back in the year 1980?
Satan had already fallen, and God allowed him to work on earth so that God’s plan of redemption and His great love for humanity could be revealed. This is why the earth became the center of redemption not because Satan is powerful, but because God’s grace is greater.
If everything was created perfectly, Who tempted Satan to Sin?

If God created everything perfectly, What tempted Satan to sin?

Remember that your scriptures say everything was created perfectly.
 
Hebu hawa atheists watuambie hiyo nguvu ya ajabu hawajawahi kuiexperience ata kidogo? Hawaamini ipo nguvu yenye mamlaka kuliko vyote?

Vipi kuhusu watu ambao tumeiexperience hiyo nguvu mnaiterm vipi? Infropreneur
Of course dini kama dini leaves so many questions unanswered! That's why you read so many articles trying to prove that God does not exist, na kwamba hizo dini na madhehebu are just scums.

Kuna wakati I almost got into that bandwagon, but then i realised that being in the congregation is more than dini itself. So, I'm in and I enjoy myself being part of those who have faith in God!
 
So, If God knew right from the beginning that humans would one day sin, Don't you see his work of creation is imperfect?

Why a perfect God creates imperfect humans who can sin?

If there's freewill, why can't you use it to go back in time?

If truly freewill exists, Can you use it to go back in the year 1980?

If everything was created perfectly, Who tempted Satan to Sin?

If God created everything perfectly, What tempted Satan to sin?

Remember that your scriptures say everything was created perfectly.
Vitu vingine majibu yake yameandikwa unapata uvivu gani kusoma maandiko?

Kasome maandiko yana majibu yote haya!

Huyo shetani hakuwa mwanadamu aliumbwa perfectly akaingia tamaa mwenyewe ya kuchukua nafasi ya Mungu! Ndiomaana alitupwa pampja na jeshi lake lote! Akaona haitoshi akawadanganya adam na eve bustanini , matokeo ya hiyo dhambi ya asili ndiyo tunayaishi leo!

Hiyo free will haihusiani na wewe kugeuza mchanga maji! Free will
Ni uwezo wa kuchagua matendo! Sio miujiza ya kuamua ukaishi hewani au baharini, sijui kurudi 80s thats crazy lol
 
Even if it's not God's time as most people say, I'd say hang in there 'coz your turn is yet to come. You may not believe in the almighty, but trust me there's natural prowess out there, something that controls the universe.
The universe has its own nature and everything is a part of it.

There's no other power controlling the universe.

The universe is self-existing and operates by itself.
 
Vitu vingine majibu yake yameandikwa unapata uvivu gani kusoma maandiko?

Kasome maandiko yana majibu yote haya!

Huyo shetani hakuwa mwanadamu aliumbwa perfectly akaingia tamaa mwenyewe ya kuchukua nafasi ya Mungu! Ndiomaana alitupwa pampja na jeshi lake lote! Akaona haitoshi akawadanganya adam na eve bustanini , matokeo ya hiyo dhambi ya asili ndiyo tunayaishi leo!

Hiyo free will haihusiani na wewe kugeuza mchanga maji! Free will
Ni uwezo wa kuchagua matendo! Sio miujiza ya kuamua ukaishi hewani au baharini, sijui kurudi 80s thats crazy lol
Kitu kama kiliumbwa perfectly kitaingiaje tamaa?

Kama kitu kimeweza kuingia tamaa Huoni kwamba kiliumbwa imperfect?
 
Of course dini kama dini leaves so many questions unanswered! That's why you read so many articles trying to prove that God does not exist, na kwamba hizo dini na madhehebu are just scums.
Wakorintho 13:12: "Sasa tunaona mambo bila ukamilifu, kama kutafakari kwa kutatanisha kwenye kioo, lakini basi tutaona kila kitu kwa uwazi kamili . Yote ninayojua sasa ni sehemu na haijakamilika, lakini basi nitajua kila kitu kikamilifu, kama vile Mungu sasa ananijua kabisa" (NLT).
Kuna wakati I almost got into that bandwagon, but then i realised that being in the congregation is more than dini itself. So, I'm in and I enjoy myself being part of those who have faith in God!
I’ve tasted both sides, upande wa Mungu una nafuu! Upande huu kuna amani sana.. kama mafundisho juu ya kuacha dhambi na kutenda mema, kuwa na upendo,amani na mengine mengi ni makosa.. acheni nichague huu upande!

Ni heri niamini Mungu yupo nisimkute, kuliko kuamini hayupo then nimkute!
 
Vitu vingine majibu yake yameandikwa unapata uvivu gani kusoma maandiko?

Kasome maandiko yana majibu yote haya!

Huyo shetani hakuwa mwanadamu aliumbwa perfectly akaingia tamaa mwenyewe ya kuchukua nafasi ya Mungu! Ndiomaana alitupwa pampja na jeshi lake lote! Akaona haitoshi akawadanganya adam na eve bustanini , matokeo ya hiyo dhambi ya asili ndiyo tunayaishi leo!

Hiyo free will haihusiani na wewe kugeuza mchanga maji! Free will
Ni uwezo wa kuchagua matendo! Sio miujiza ya kuamua ukaishi hewani au baharini, sijui kurudi 80s thats crazy lol
ukipigws maswali ya freewill utachomoka?
 
Back
Top Bottom