Godoro kutoka mombasa kuja tanga

Godoro kutoka mombasa kuja tanga

Hammer11

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2024
Posts
2,029
Reaction score
2,657
Wadau niko na mattress natak iende tanga niko mombasa vip naweza kusafiri nayoo sio mpya ni ya kitamboo kidogo jeee nafanyajeee ifike tanga nikawape ndugu zangu ni godoro la 5 ×6
 
Wadau niko na mattress natak iende tanga niko mombasa vip naweza kusafiri nayoo sio mpya ni ya kitamboo kidogo jeee nafanyajeee ifike tanga nikawape ndugu zangu ni godoro la 5 ×6

Nenda kule kwenye barabara mpya ya darajani au likoni Ferry ongea na madereva wa malori ya mbao au yale yanayoleta kopa huko watakusaidia jambo lako.
 
Uko wapi mm uwa nakuja ganjon maybe tunaeza fanya business ila usilete tz
 
Wanapatikan wap
Nenda wanakoshusha mbao huko bamburi au bandarini wanakoshusha chai na kopa hauwezi kukosa malori ya kitanzania yapo mengi sana na yanayopeleka makaa ya mawe huko kaloleni na bamburi pia.
 
Back
Top Bottom