Godbless Lema: Nimemaliza Arusha sasa nashuka Mtwara

Godbless Lema: Nimemaliza Arusha sasa nashuka Mtwara

Mwigulu amepakatwa na MH. Lema! Shonza je?
 
Ni sawa kwenda mtwara Kamanda lakini KUMBUKA baada ya wananchi wa Arusha kukichagua Chadema tunahitaji MTULIE mtuletee MAENDELEO na MKOMESHE UFISADI Halmashauri ya JIJI LA ARUSHA...Wasisiwasi wangu ni Je hili ombi utaweza kulitekeleza ka mda mwingi utautumia NJE ya Jimbo kama tunavyomlaumu Kiwete na safari za nje zilizopindukia badala ya kutulia kutatua kero za wananchi kama Mbunge wa Ubungo Kamanda John Mnyika?
 
Nyie mnashangilia ushindi kina mwigulu wanajipanga kuiba kura huko
Watch out
 
Tumepata jibu nani alirusha bomu kwa vyovyote vile aliyekataliwa
 
BIG UP CDM. Mungu hamuachi mna wake. watanzania wengi wanawaombea sana iko cku hivi nchi itakuwa mikononi mwetu. Hawa magamba kwisha habari yao.
 
Jamani semeni ukweli nataka nishangilia kwa nguvu nipeni uhakika. Mwingulu ni kichwa maji ataimaliza CcM yake kwa mikono yake. wana Arusha hongereni
 
Poa kamanda kwa ushindi mkubwa.

Karibu sana Mtwara ili tushirikiane na wananchi kuikomboa Mtwara na Kusini kwa ujumla kama sehemu ya harakati za kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi mwa magamba.

Njoo tusaidiane kuhamasisha elimu ya uraia kwa wananchi ili watambue haki zao, na zaidi WATAMBUE JINSI YA KUTAFUTA NA KUZILINDA HAKI ZAO.

Karibu sana Kamanda.
 
Nimempenda huyo jamaa aliekua anamkoromea huo afande-CCM.source ch.ten.
 
Good and right decision. CUF wameitelekeza Mtwara sasa mabomba yansombwa kuelekea huko ili gesi itoke kwa mabavu. Magamba hawaitaji tena mjadara ila kwa mtutu gesi ya wana-Mtwara itoke, it pains...
 
Back
Top Bottom