Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Mkuu nimeipenda hiyo lakn ilikuaje had mahakama kutafsili hivyo?.

baada ya kayanza kuruhusu polisiccm kupiga wananchi Mh;Sugu kwenye ukarasa wake wa fb akaandika maneno ya kayanza ya kipumbavu;polisiccm wakamfungulia kesi;ila ahakama akifafanua upumbavu c tusi.
 
Ndio mkuu. Bila ile kitu hawezi ku-survive. Yeye mwenyewe anasema inampa misimamo.
Chooni ushatoka? Anglia huenda umechamba vibaya viukoko visije bakia chupini na mkononi
 
Utawasikia wapi kwani wameshiriki kwenye uharamia wa Dodoma kama kijana wenu Makonda??
 
ndo akili ako imekomea hapo... Sugu yupo Mbeya.... Lema yupo arusha.... Sasa amboni pangoni na bangi wapi na wapi? Kavute mwenyewe ulozoea kuvutia ktk pango hilo

Chuki anachuki sana jina lake lilivyo;umemjibu vizuri sana.
 
wewe na jina lako la kike na kabila lile kule kuliko na mwasisi wa maandamano ila hakuna maandamano mara yako ya mwisho kuja arusha ni lini?

Huo ukabila wako iko siku utakula matunda yake. Amen
 
Utabiri umesomea wapi? Mm ni muhitimu wa shahada pale mlimani mwaka wa mtatiro.... Nkarudi tena kupiga MA nkawakuta akina mtela mwampamba wao wakiwa duce... Nk

Hivyo hufai kuwa mtabiri sanasana ni mpuuz mkubwa wewe

huyu sirluta nadhani anaupungufu wa chakula;ushauri wangu kwake aombe tu kwa kina nnauye na yule msomali wamfikirie tena kwenye posho labda b7 haikidhi shida za jikoni kwake.
 
Wakati mwingine sirluta uwe unajitahidi kufikiri kwa kutumia kichwa kabla ya kuweka pumba zako hapa jukwaani.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Huo ukabila wako iko siku utakula matunda yake. Amen

umeona mkuu?tabu ya thithiem ndo hiyo kugombanisha wanachi ili wazidi kututawala;kwenye udini wamefeli sasa wapo kwa wakulima na wafugaji;tusipokuwa makini kwenye ukabila watafanikiwa wanakwenye;dawa kuwatolea makavu hadharani na ikibidi tuwapopoe mawe wakija na madudu hayo.
 
Utabiri umesomea wapi? Mm ni muhitimu wa shahada pale mlimani mwaka wa mtatiro.... Nkarudi tena kupiga MA nkawakuta akina mtela mwampamba wao wakiwa duce... Nk

Hivyo hufai kuwa mtabiri sanasana ni mpuuz mkubwa wewe

kama una MA na comments zako ndizo hizi! Serikali ina hasara aisee!
 
Mtu kama sugu,Lema na Lusinde huwa hawaingii bungeni mpaka wavute bangi+viroba ndomna akili zao huwa fyatuka gafla!
Hivi sugu anawezaje kuwa na ujasiri wa kumtukana Waziri mkuuu lakini kakosa ujasiri wa kukaa na mke?
 
Back
Top Bottom