Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Wako mapango ya Amboni Tanga wanavuta bange.
ndo akili ako imekomea hapo... Sugu yupo Mbeya.... Lema yupo arusha.... Sasa amboni pangoni na bangi wapi na wapi? Kavute mwenyewe ulozoea kuvutia ktk pango hilo
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.

Kama hautakua kwenye cku zako basi mawingu yanakuathiri.
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.

Kwa hiyo watakutana na Komba mstuni?.
 
nasema nipo huku ccm kimwili kiakili nipo Chadema chama makini sana na imara mno kuliko wakati wowote. Nimekutana na sugu juzi akanipa ratiba ya slaa hivyo namngoja kwa hamu nimwage mbivu na..... Malizia kondoo wewe

ccm haifugi watu wa dizain yako, ccm peace sana
 
sirluta Leo tunakukata posho tangu asubuhi umepost mada 1tu wakati mbinu tulishawapa za kutunga jambo.bidii yako ndo posho yako nzuri
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.
Hayo ni mawazo yako,tena mawazo finyu,nani amekuambia kazi ya mbunge ni kujenga barabara,vituo vya afya,kuleta maji n.k? huo upotoshaji mnaufanya baada ya kukosa mbinu mbadala za kupambana na wapinzani wenu,kama suala la maendeleo ndiyo tija ya mbunge kubaki basi wapinzani ulaya magharibi na marekani wasingepata viti vya uwakilishi kwenye mabunge yao kwa sababu nchi zao zimeendelea.Nawapongeza wabunge wa upinzani kwa kutimiza majukumu yao ya kuikosoa serikali na kuanika maovu,kwenu nyinyi watawala ndio mnaopaswa kuwaletea watanzania maendeleo kwa sababu ndie mnao kusanya kodi na daima mjue kuwa kuleta maendeleo ni wajibu wa serikali na si zawadi kama mnavyowadanganya watanzania.Naona kengele imelia anza kufungasha virago.......
 
sirluta Leo tunakukata posho tangu asubuhi umepost mada 1tu wakati mbinu tulishawapa za kutunga jambo.bidii yako ndo posho yako nzuri
teh teh.. Hadi raha aisee...... Leo anatokwa povu
 
leo asubuhi tumesikia habari za lema via redio na sugu tulikuwa naye uwanjani mbeya city na coastal union sasa huo msitu ni upi kama si bange ni nini

hata kama huna akili nzuri jaribu kuwa mkweli na hasa kuwachafua watu !
 
Hivi kuna watu wanashangilia kupatikana kwqa 'katiba mpya'? Hivi hii pia ni katiba mpya? Itatupeleka miaka 50 ijayo.Hivi inasadifu kiwango cha pesa kilichotumika!
Tujitambue tusiwabeza wazalendo wa kweli wa nchi hii.
 
Hayo ni mawazo yako,tena mawazo finyu,nani amekuambia kazi ya mbunge ni kujenga barabara,vituo vya afya,kuleta maji n.k? huo upotoshaji mnaufanya baada ya kukosa mbinu mbadala za kupambana na wapinzani wenu,kama suala la maendeleo ndiyo tija ya mbunge kubaki basi wapinzani ulaya magharibi na marekani wasingepata viti vya uwakilishi kwenye mabunge yao kwa sababu nchi zao zimeendelea.Nawapongeza wabunge wa upinzani kwa kutimiza majukumu yao ya kuikosoa serikali na kuanika maovu,kwenu nyinyi watawala ndio mnaopaswa kuwaletea watanzania maendeleo kwa sababu ndie mnao kusanya kodi na daima mjue kuwa kuleta maendeleo ni wajibu wa serikali na si zawadi kama mnavyowadanganya watanzania.Naona kengele imelia anza kufungasha virago.......

kwingine wamewezaje?
 
sirluta Leo tunakukata posho tangu asubuhi umepost mada 1tu wakati mbinu tulishawapa za kutunga jambo.bidii yako ndo posho yako nzuri

teh teh teh
 
Wewe mnafiki mkubwa wote wapo subirini mwakani wawatoe pangoni sasa

Duuh! mara hii tu umeshahama na chama? au zilikuwa Gongo umelala nazo? ukiwa muongo jitahidi kuwa na kumbukumbu itakusaidia kuficha umbumbumbu wako
 
Sisi tunafahamu yale aliyoyasimamia jimboni kwetu,wewe galasa lako limefanyann.
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.
Unamawazo ya kiharamia
 
Back
Top Bottom