Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Godbless Lema na Sugu waingia Mafichoni!

Sisi tunafahamu yale aliyoyasimamia jimboni kwetu,wewe galasa lako limefanyann.

wewe na jina lako la kike na kabila lile kule kuliko na mwasisi wa maandamano ila hakuna maandamano mara yako ya mwisho kuja arusha ni lini?
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.
amnaa lolote hao wapo hotelin
kwanza msityu gani mbao wataaka kwa aman maana misitu yote ya tz unakambii za jeshii
 
Najiuliza siasa za hawa wabunge zimeishia wapi ambapo mmojawao alishafikishwa katika vyombo vya usalama kwa kumtolea raisi maneno ya kichochezi na mwingine alifikishwa kwa kumtolea waziri mkuu maneno ya kichochezi wakati wa mijadala bungeni.

Ukimya huu bila shaka unaonyesha walikamilisha kazi walizotumwa na chama chao na sasa wameingia msituni kujipanga.

Ama kweli debe tupu haliachi kuvuma! Sijui wanajipanga na uwongo gani kwa sasa hao watumwa wa chama walioingia mafichoni. Hii inadhihirisha ni jinsi gani wananchi wanafanya makosa katika chaguzi. Kwa tasfsiri makini ni kwamba Jimbo La Arusha Mjini lipo wazi tangu 2010 maana mbunge hakuna alichokifanya cha maendeleo kwa jimbo lake. Wananchi tusirudie makosa. Kuna mshirika mmoja wa G. Lema ameachana na siasa ameaanza kulaghai kwa kivuli cha Uchungaji. Tuwe makini na watu wenye njaa kali.
Mahakama ya Wilaya ya Dodoma ilishatafsiri kuwa waziri MKUU ni Mpumbavu! tusi liko wapi hapo
 
Wewe mnafiki mkubwa wote wapo subirini mwakani wawatoe pangoni sasa

Kamanda hujamuelewa mleta uzi. Swala sio kuwa hawapo, bali wameleta mafanikio gani ya kimaendeleo katika majimbo yao zaidi ya maandamano?
 
Mleta uzi ana akili za mama yake za kujivunia katikati ya miguu yake.
Imekuuma et ee?
 
:flame😛eopleeeeeeeeeeesssssssssssss! mbona mnatapatapa mapema nyie wanyonayaji wa tz, (Lumumba) sublin mda umekaribia mtaisoma namba 2015, najua mnaumiza kichwa sn kutojua makamanda wako wap kamuulizen mkwele wa chalinze na mfipa wa sumbawanga wanavyohisi kuharisha pindi wasikiapo hayo majina. pu.............vu zenu mazuzu wa nna........ye
 
sirluta Leo tunakukata posho tangu asubuhi umepost mada 1tu wakati mbinu tulishawapa za kutunga jambo.bidii yako ndo posho yako nzuri

Tafadhali msiharibie posho yake;mwambieni aongeze bidii.
 
yakuwashia nn mkuu? Wikiend sio siku ya kuchat jf wewe kama mwanafunzi ukipata div 0 usije hapa kulalamikia serikali
Utabiri umesomea wapi? Mm ni muhitimu wa shahada pale mlimani mwaka wa mtatiro.... Nkarudi tena kupiga MA nkawakuta akina mtela mwampamba wao wakiwa duce... Nk

Hivyo hufai kuwa mtabiri sanasana ni mpuuz mkubwa wewe
 
Back
Top Bottom