Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,083
- 8,221
Anaandika Godless Lema:
“Tofauti yetu kubwa na Mh Rais SSH iko ktk madai ya Uhuru wa Kisiasa, Demokrasia, Katiba mpya na Haki za Wafungwa wa Kisiasa akiwemo Mkti Mbowe. Lakini kama kuna ugomvi kati ya Job Ndugai na Rais SSH , bila shaka anayepaswa kusaidiwa ni SSH. Ndugai ni mzigo mzito sana katika Nchi.”
Anaandika Jon Mrema:
“Huyu ni Spika wa Bunge,ambaye analalamika wakati Bunge linatakiwa kuisimamia Serikali, anasema nchi itapigwa mnada Kwa sababu ya deni kubwa la Taifa. Kuna hoja iliwahi kutolewa Bungeni kuwa CAG afanye ukaguzi Maalum juu ya deni la Taifa kwanini asikubaliane na hoja hiyo? Gang!!!!”
Akili kubwa kubwa hizi, Shida kubwa anayopata Samia ni kuongoza watu wengi wenye upeo mdogo wa kufikiri ambao wamejaa ndani ya Chama chake anachokiongoza.
“Tofauti yetu kubwa na Mh Rais SSH iko ktk madai ya Uhuru wa Kisiasa, Demokrasia, Katiba mpya na Haki za Wafungwa wa Kisiasa akiwemo Mkti Mbowe. Lakini kama kuna ugomvi kati ya Job Ndugai na Rais SSH , bila shaka anayepaswa kusaidiwa ni SSH. Ndugai ni mzigo mzito sana katika Nchi.”
Anaandika Jon Mrema:
“Huyu ni Spika wa Bunge,ambaye analalamika wakati Bunge linatakiwa kuisimamia Serikali, anasema nchi itapigwa mnada Kwa sababu ya deni kubwa la Taifa. Kuna hoja iliwahi kutolewa Bungeni kuwa CAG afanye ukaguzi Maalum juu ya deni la Taifa kwanini asikubaliane na hoja hiyo? Gang!!!!”
Akili kubwa kubwa hizi, Shida kubwa anayopata Samia ni kuongoza watu wengi wenye upeo mdogo wa kufikiri ambao wamejaa ndani ya Chama chake anachokiongoza.