DodomaTZ
Member
- May 20, 2022
- 69
- 107
Spika Mstaafu wa Bunge la 11, Job Ndugai amejikuta katika aibu kubwa baada ya wanachama wa CCM Wilaya Kongwa katika JUMUIA YA WAZAZI NA UVCCM kuameamua kujiondoa katika mfumo wa ubabe, kupelekeshwa, amri za hapa na pale za nani achaguliwe katika uongozi wa CCM Wilaya Kongwa.
Katika chaguzi zinazoendelea ndani CCM Ndugai ameonyesha nia ya wazi kuliacha jimbo ilo mikono kwa mkewe Bi. Fatuma Mganga Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, ambapo amekuwa akipigania kuweka safu ya uongozi wa wilaya kwa lengo la kuja kupitisha jina la mkewe kirahisi wakati wa mchakato wa ubunge 2025.
Katika uchaguzi uliofanyika tarehe 24 kwa nafasi za Wenyeviti wa Jumuiya Yani WAZAZI, UWT NA UVCCM licha ya kutaka kupanga Safu katika nafasi hizi aliangukia pua kwa baada ya wagombea wake wawili kutopata kura za kutosha.
Walioshinda katika uchaguzi huu ni JAPASON LEMA Mwenyekiti UVCCM.
SIMANGO NGOBEI MKITI WAZAZI na katika nafasi ya Mwenyekiti UWT akifanikiwa kuendelea kuwafanya mazombi Jumuia ya Wanawake ccm UWT ambapo kwa kutumia rushwa na vitisho kwa kinamama hao kuwa wasipomchagua mtu wake basi Wanawake wote wa kongwa mikopo ya %10 ya halmashauli wataisikia kwa mawaziri tu alisema Ndugai.
Kutoka na udhaifu na hofu wa wakinamama na ujanyanyasaji wa kijinsia walijikuta wanampigia kura EDINA MBIGIMA kumchagua kuwa mwenyekiti UWT wakihofia kukosa mikopo ambayo ipo kisheria.
Hii ni dalili kuwa sasa Ndugai amekwisha kisiasa baada ya kushindwa kupenyeza wagombea wake katika jumuia ya wazazi na UVCCM.
Katika chaguzi zinazoendelea ndani CCM Ndugai ameonyesha nia ya wazi kuliacha jimbo ilo mikono kwa mkewe Bi. Fatuma Mganga Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, ambapo amekuwa akipigania kuweka safu ya uongozi wa wilaya kwa lengo la kuja kupitisha jina la mkewe kirahisi wakati wa mchakato wa ubunge 2025.
Katika uchaguzi uliofanyika tarehe 24 kwa nafasi za Wenyeviti wa Jumuiya Yani WAZAZI, UWT NA UVCCM licha ya kutaka kupanga Safu katika nafasi hizi aliangukia pua kwa baada ya wagombea wake wawili kutopata kura za kutosha.
Walioshinda katika uchaguzi huu ni JAPASON LEMA Mwenyekiti UVCCM.
SIMANGO NGOBEI MKITI WAZAZI na katika nafasi ya Mwenyekiti UWT akifanikiwa kuendelea kuwafanya mazombi Jumuia ya Wanawake ccm UWT ambapo kwa kutumia rushwa na vitisho kwa kinamama hao kuwa wasipomchagua mtu wake basi Wanawake wote wa kongwa mikopo ya %10 ya halmashauli wataisikia kwa mawaziri tu alisema Ndugai.
Kutoka na udhaifu na hofu wa wakinamama na ujanyanyasaji wa kijinsia walijikuta wanampigia kura EDINA MBIGIMA kumchagua kuwa mwenyekiti UWT wakihofia kukosa mikopo ambayo ipo kisheria.
Hii ni dalili kuwa sasa Ndugai amekwisha kisiasa baada ya kushindwa kupenyeza wagombea wake katika jumuia ya wazazi na UVCCM.