Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,451
- 16,340
Makamu wa Rais nakusalimu. Wewe sio makamu wa Rais wa familia yako.Wewe ni Makamu wa Rais wa Nchi.Watu wanapofuatilia taarifa zako wako sawa asilimia 100. Ukuonekana kwa muda mrefu na serikali na ofisi yako wakawa kimya,watu wakaanza huko wapi? Tena ni jambo jema kwako,nilifikiri ungefurahi badala yake nimekuona tofauti.
Wewe sio Mungu ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema.Cheo chako sio utakatifu. Wewe ni mfanyakazi wetu,uwe unatoa taarifa ya mienendo ya kazi zetu. Sasa umewashukuru waliokuwa wanakuombea, je,walikuwa wanakuombea kitu gani ?uwe na amani na afya njema.
Wewe sio Mungu ukiumwa sema, ukisafiri kikazi sema.Cheo chako sio utakatifu. Wewe ni mfanyakazi wetu,uwe unatoa taarifa ya mienendo ya kazi zetu. Sasa umewashukuru waliokuwa wanakuombea, je,walikuwa wanakuombea kitu gani ?uwe na amani na afya njema.