YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Chadema jeshi hawana polisi Hawa nk lakini wanacho.kitu kimoja tu kikubwa UKABILA..Yehodaya unakosa objective analysis! Sasa makabila hayo yamekufa? The issue is KANU ilikuwa na "nguvu" kama CCM, kwanini ilikufa? Watu walifuata kula/njaa /maslahi mle, baada ya kula kuisha ikasambaratika. CDM hawana pesa, hawana Jeshi, hawana askari, hawana majumba, hawana magari ya kutanua/kustarehe, hawana magereza,
Have a nice day, it is time to shamba!
Kwa Hilo hakuna Chama chochote Cha siasa kinawafikia