Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kwani mkuu kulikuwa na umuhimu gani Lema kuchangisha Mwanza wakati kina Wenje wapo. Inawezekana ndiyo sababu wakazi wa Mwanza wakasusia kuchanga pesa.
kwani kuchangisha pesa kuna kanuni kwamba kila mtu achangishe kwenye jimbo lake hivyo kulikuwa hakuna sababu ya dar kukubali kuchanga kwani Lema alikuwepo na akawa anachangisha ukitaka kusema hivyo unakosea ina maana chadema hawataenda kwenye majimbo ya wabunge wa magamba na kama wanaeda unataka kusema ili wanachi wa jimbo hilo wachange watataka mbunge wao achangishe pesa ndiyo watatoa Mwanza kama walishindwa kutoa ili lengo lifikie waseme siyo kumsingizia Lema mbona Arusha Ndesapesa alichanga nakuchangisha mbona Arusha awakugoma acheni chuki binafsi na Lema!!!