Wanajf,jana usiku nilipata nafasi ya kwenda kuangalia tarifa ya habari ya saa 2 usiku katika ukumbi wa chuo, wanafunzi walikua ni wengi sana na wnapenda sana kuanaglia tarifa ya habari ya ITV.
Nilishangazwa sana pale GODBLESS LEMA alivyo sema kesho narudi bungeni, ukumbi mzima ulisimama na kushangilia. Ndipo nilipo amini kuwa CHADEMA ni chaguo la MUNGU.
MUNGU ibariki TANZANIA, MUNGU ibariki CHADEMA.
Hata kingwendu anapendwa pia
Hata kingwendu anapendwa pia
Na huu ni nini?Huu mzigo unawasubiri mkuu
Kaka Lema ni noma ... Ni mandela wa tanzaniaView attachment 90582
Angalia akili ndogo hizi, yaani unafananisha kupendwa kwa kingwendu na Lema, ungekuwa na busara ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimyaHata kingwendu anapendwa pia
Hata kingwendu anapendwa pia
kama zilivyo toilet papers uhuru, mzalendo na habari leoHata magazeti ya udaku Kiu, Ijumaa, Tanzania Daima, Uwazi, yanapendwa.
Hata magazeti ya udaku Kiu, Ijumaa, Tanzania Daima, Uwazi, yanapendwa.
Hata magazeti ya udaku Kiu, Ijumaa, Tanzania Daima, Uwazi, yanapendwa.
Mie nadhani mpumbavu ni wewe unayetumika kama msukuleAngalia akili ndogo hizi, yaani unafananisha kupendwa kwa kingwendu na Lema, ungekuwa na busara ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya
Hata magazeti ya udaku Kiu, Ijumaa, Tanzania Daima, Uwazi, yanapendwa.
Tundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}
Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
Na huu ni nini?