Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Angalia akili ndogo hizi, yaani unafananisha kupendwa kwa kingwendu na Lema, ungekuwa na busara ungeficha upumbavu wako kwa kukaa kimya

..jomba usipoteze muda wako huyu jamaa tuliambiwa anaumwa,nahisi bado haajamaliza dozi...
 
Heri msukule kuliko wewe unaetumwa na mwanaume mwenzio kuja kumwaga uharo JF, unadhalilisha uanaume wako, kama kweli ni mwanaume
Utaniheshimu tu...
Najua tatizo lako umekuwa brainwashed kwa hiyo ni wajibu wangu kuwaamsha misukule kama wewe ili mjitambue.
 
Kuna watu wameumbwa kufurahisha,kupendwa,kusikilizwa na kufuatwa....Lema ni mojawapo...
Nakumbuka kipindi cha kesi ya Mbowe nilikuwa jijini Arusha nikawa naongea na Makada ambao tunafahamiana....mmoja alisema hivi na kuungwa mkono na wenzake
"Hili jamaa linakubalika kwa vijana...halafu mambo mambo yake tu yaani unajikuta unalikubali tu sio kwamba eti ana hoooja kivile" mwingine akadakia "umeona eeh"
Kwa hilo nalikubali kwani alifanikiwa kunibrainwash hata mimi mpaka nikaingia Chadema lakini nilishtuka baadae
 
Mie nadhani mpumbavu ni wewe unayetumika kama msukule
Kulingana na hali ya nchi ilivyo na hali ya maisha ya watanzania yalikofikia hivi sasa tangu Kikwete aingia madarakani, nafikiri unahitaji kuwa na akili ya mwendawazi ili uweze kuishabikia CCM. Naona umefikia mahali unakumbuka picha ya kadi za CHADEMA ulizizpiga wakati ukiwa kiongozi wa CHADEMA UK, na kutuwekea kwenye mitandao eti ukijaribu kulinganisha na zile ambazo CCM wamerudishiwa. Kubali tu umepotea njia. Kama umeenda CCM kwa ajili ya njaa basi vumilia, lakini kama ni kwa uelewa na umakini wa kuchambua hali ya mambo basi unahitaji maombi, maana ni dhahiri kwamba wewe si mzima. CCM ishapoteza dira. Hata Nyerere alisema!
 
Utaniheshimu tu...
Najua tatizo lako umekuwa brainwashed kwa hiyo ni wajibu wangu kuwaamsha misukule kama wewe ili mjitambue.
utaheshimiwa na wanaokutuma sio mimi, siwezi kuheshimu watu wanaotumia matumbo kufikiri.
 
Kulingana na hali ya nchi ilivyo na hali ya maisha ya watanzania yalikofikia hivi sasa tangu Kikwete aingia madarakani, nafikiri unahitaji kuwa na akili ya mwendawazi ili uweze kuishabikia CCM. Naona umefikia mahali unakumbuka picha ya kadi za CHADEMA ulizizpiga wakati ukiwa kiongozi wa CHADEMA UK, na kutuwekea kwenye mitandao eti ukijaribu kulinganisha na zile ambazo CCM wamerudishiwa. Kubali tu umepotea njia. Kama umeenda CCM kwa ajili ya njaa basi vumilia, lakini kama ni kwa uelewa na umakini wa kuchambua hali ya mambo basi unahitaji maombi, maana ni dhahiri kwamba wewe si mzima. CCM ishapoteza dira. Hata Nyerere alisema!

Mkuu serikali ya maisha yako ni kichwa chako hakuna chama cha siasa dunia ambacho kitayasimamia maisha yako.

Huwezi kuwa unashinda vijiweni unakunywa viroba utegemee Chadema wakiingia madarakani watakusaidia.

Fursa zipo ni wewe kupambana na maisha siyo kuwa mtu wa kulalamika kila muda.
 
CCM kutunyima elimu wanafanya makusudi ili waendelee kututawala
 
Mkuu wakati mwingine tujenge nidhamu kwa viongozi wa kidunia.

Kumfananisha Mzee Mandela na Lema ni kumdhalilisha mzee wa watu.
Hii ni aibu sana
Mtu mwenye akili timamu huwezi kufananisha Mandela na Lema,
Sijawahi kusikia mandela akitafutwa na polisi kwa kosa la jinai
 
Wanajf,jana usiku nilipata nafasi ya kwenda kuangalia tarifa ya habari ya saa 2 usiku katika ukumbi wa chuo, wanafunzi walikua ni wengi sana na wnapenda sana kuanaglia tarifa ya habari ya ITV.

Nilishangazwa sana pale GODBLESS LEMA alivyo sema kesho narudi bungeni, ukumbi mzima ulisimama na kushangilia. Ndipo nilipo amini kuwa CHADEMA ni chaguo la MUNGU.



MUNGU ibariki TANZANIA, MUNGU ibariki CHADEMA.


Hujajua tabia ya binadamu wewe, ni wanafiki kuliko NYOKA
 
mkuu serikali ya maisha yako ni kichwa chako hakuna chama cha siasa dunia ambacho kitayasimamia maisha yako.

Huwezi kuwa unashinda vijiweni unakunywa viroba utegemee chadema wakiingia madarakani watakusaidia.

Fursa zipo ni wewe kupambana na maisha siyo kuwa mtu wa kulalamika kila muda.

hata mimi nashanga kuona nape akiwaendesha watu na remote pale lumumba,sasa sijui h/mashauri za vichwa vyao hazisomi alama za nyakati.!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Na huu ni nini?
Kama una akili timamu ni wazi kapisa hizo kadi zimechapishwa wala hazijarudishwa na wanachama wa CDM. tofauti na hizo hapo juu. labda una chuki zako au unaitaka nafasi ya Nape.
 
well said...mfano Mnyika ni sawa na wabunge 100 wa ccm
 
Na huu ni nini?

Wewe kweli unaistahili kauli ya Serukamba. Mwenzio kakupa picha ya kadi zilizotumia na kutupwa chini,wewe unatuonyesha kadi mpya zilizochapishwa na kuwekwa kwenye makabati Lumumba kusubiri kuwagawia watu wenu ili waseme wamerudisha kadi za Chadema?
Wakati mwingine tumia akili kidogo mr policeman. Au nawe ulikuwa kama huyu? ImageUploadedByJamiiForums1366368093.863219.jpg
 
Back
Top Bottom